Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Good thinkingKama unakula kuleni wote, ili iwe ngumu kufunga staff wote ni ngumu kuwafunga wafanyakazi wote, kinachofachika watafukuza, hamisha na kusimamisha.. kama mnapiga 100%.. unachukua hata 8% au 10% izo tisini hakikisha kila mtu anailamba 😀😀😀.. ili kikinuka muone kama wafafunga wote.. ila sasa ubinafsi mtu anataka ale 95%.. lazima kinuke tu.. utajiri mzuri ni ule wa kidogo kidogo