Ni kweli kabisa mijitu ni misenge iiyokubuhu sijui akiwa ni mwanamke ataitwaje km huyu Beatrice Kamugisha Kashaiga anataka kulea madhambi hata kwa nduguAcha ungese wewe kakutwa na bil 3+ nini kingine unataka, msituletee ujinga sa hii
Popote pale ukipata tuhuma za jinai kuwekwa mahabusu si Jambo la ajabuTupige Vita kauli mbiu ya uchunguzi unaendelea huku watuhumiwa wakiwa mahabusu.....fanyeni kwa taaluma siyo kwakutaka mwonekane mnajua kutesa watu
Asante Beatrice kwa nondo kali. Naamini Mama yetu ataliangalia hili.Pole Kakoko utajitetea hivi kortini kuwa na subira tunakuomba utii sheria *****
Actually hilo ndilo lengo Lao hasa!Tayari walishakupotezea muda, kukudhalilisha na kukutengenezea msongo wa mawazo.
Weww hujui chochote kuhusu ukaguzi, unajiandikia tu hapa uharo.
Hii ndio shida ya mitandao, kila mtu kujifanya anajua hata asiyoyakua.
Kwa taarifa yako maswali yako yote uliouliza hapo ni uharo tu, hakuna swali la maana.
Kumtetea Kakoko kwa style hii hamtofanikiwa. Kwa maneno yako Kakoko ni mwizi kwahiyo anafaa kuwa jela na si mahabusu.Tuacheni Unafiki hakuna Mtanzania ambaye akiwekwa katika Nafasi fulani au akipata Wadhifa kwenye Sekta yenye Pesa hatoiba.
Fool mama yako