mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 898
Habari JF Kama ilivyo Kichwa Cha habari hapo Juu
Roho inauma sana Sijaona Hata kiongozi mmoja mwenye nyazifa kubwa Kuizungumzia Rufiji, wakati huu mapango wa mafuriko kama kule Bwana la nyerere walifungulia maji ili kunusuri Kuta kubaomoka,vipi mbona Hakuna hata hamamatsu yoyote Kuhusu watu Wa rufiji.
Kwani Rufiji ipo wapi ?? Je ile janga lililotokea manyara mbona serikali ilikimbilia na michango ilipitwa vipi hawa wa rufiji thamani yao ipo wapi ndio maana unaweza kusema watu wa kusini huwa hawathaminini kutokana na haya mambo ,yaliyotokea rufiji.
Niwatakie idi njema lakini ukweli usemqe.
Ahsante .
Roho inauma sana Sijaona Hata kiongozi mmoja mwenye nyazifa kubwa Kuizungumzia Rufiji, wakati huu mapango wa mafuriko kama kule Bwana la nyerere walifungulia maji ili kunusuri Kuta kubaomoka,vipi mbona Hakuna hata hamamatsu yoyote Kuhusu watu Wa rufiji.
Kwani Rufiji ipo wapi ?? Je ile janga lililotokea manyara mbona serikali ilikimbilia na michango ilipitwa vipi hawa wa rufiji thamani yao ipo wapi ndio maana unaweza kusema watu wa kusini huwa hawathaminini kutokana na haya mambo ,yaliyotokea rufiji.
Niwatakie idi njema lakini ukweli usemqe.
Ahsante .