proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
utakuja kulogwa bure kwa kutaja jina la mama yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eunice ni jina la kizungu, hivyo huenda kuna mzungu mwenye hilo jina anasikitika kusikia mama yako anatumia jina lakeMama alipewa jina hilo baada ya kubatizwa na kuwa mkristo kamili, huu ni mwaka wa 75 tangu mama aanze kulitumia jina la Eunice.
Sina shida na majina ya wazee wetu kutumika kwa watu wengine hata kama hawaendani na hayo majina.si bora kapewa uyo roboti hana makuu,,kuna majina ya wazee wetu wanapewa watu na tabia zao pasono😁
Eunice ni jina la mwanamke mcha Mungu aliyeishi huko Efeso, wewe Unaposema ni jina la kizungu unamaanisha ni mzungu wa unga ama mzungu yupi?Eunice ni jina la kizungu, hivyo huenda kuna mzungu mwenye hilo jina anasikitika kusikia mama yako anatumia jina lake
HahahahaSina shida na majina ya wazee wetu kutumika kwa watu wengine hata kama hawaendani na hayo majina.
Ila kwa lisanamu kutumia jina la mzazi wangu sijapenda kabisa
Mkuu upo karibu na mwanasheria wako?Watu wanampenda mama kweli kweli sijui kwanini hawakumuita SAMIA kama njia ya kuonyesha wanampenda kiukweli kweli😁😁😁
Atakuwa Hidaya bila shaka,ila sasa atuambie Baba kisariii yupo kwa wapi🤣Mtoa mada, kwani wewe ni Zuhura?
Mi sijui hata linatamkwaje!Eunice jina zuri sana ndio maana
Hivi mkuu unamjua ni nani hasa aliyetoa hilo jina mcha Mungu Eunice litumike kwa lisanamu?Mkuu umenikumbusha jambo Kwa huu Uzi wako
Linatamkwa YunisiMi sijui hata linatamkwaje!
Unataka nini mkuu?Atakuwa Hidaya bila shaka,ila sasa atuambie Baba kisariii yupo kwa wapi🤣
Mwenyewe nashangaa sanaHivi mkuu unamjua ni nani hasa aliyetoa hilo jina mcha Mungu Eunice litumike kwa lisanamu?
Kuwa kuna watu wanatumia jina la Mtu bila kibali🤔Unataka nini mkuu?
Tena huyo anaanza nivijichokochoko🤣Mkuu upo karibu na mwanasheria wako?
Naona umeanza chokochoko 😂
Akitekwa na kwenda kuminywa kende asilaumu mtu 😂Tena huyo anaanza nivijichokochoko🤣
Sina shida na watu kutumia majina ya watu wenzao.Kuwa kuna watu wanatumia jina la Mtu bila kibali🤔
Laana na iwe juu yake yeyote aliyeshiriki kumpa jina hilo huyo mdoliMwenyewe nashangaa sana
KabisaBora angepewa jina la Sa100