Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
- Thread starter
- #41
Sijamaanisha kuwa siruhusu mtu yeyote kutumia jina hilo.Unaweza kufungua kesi ya madai mkuu.mshitaki nape nauye Kwa kutumia jina la mama Yako pasipo idhini Yako.
Mafadhaiko yangu yapo kwenye kulitumia jina hilo kwa lisanamu.
Ikitokea siku nikakutana na ex wangu lazima atanikejeri kwa kuniita mwana wa robot, hebu pima mwenyewe madharau kama hayo yakianza si nitalala selo mkuu!
Sijapenda kwa kweli