Sijapenda Roboti wa Bungeni kutumia jina la mzazi wangu

Unaweza kufungua kesi ya madai mkuu.mshitaki nape nauye Kwa kutumia jina la mama Yako pasipo idhini Yako.
Sijamaanisha kuwa siruhusu mtu yeyote kutumia jina hilo.

Mafadhaiko yangu yapo kwenye kulitumia jina hilo kwa lisanamu.

Ikitokea siku nikakutana na ex wangu lazima atanikejeri kwa kuniita mwana wa robot, hebu pima mwenyewe madharau kama hayo yakianza si nitalala selo mkuu!

Sijapenda kwa kweli
 
Eh shughuli ipo wafungulie mashtaka wanakuzoea au nenda bungeni ukimwona huyo robot mbomoe bomoe hutamsikia tena
Sina hasira zenye kuzaa hasara, hivyo siwezi peleka hasira zangu bungeni.

Nimemwachia Mungu ashughulike na hao waabudu sanamu,ashughulike pia na hilo lisanamu lao.

Mungu hadhihakiwi.
 
 

Attachments

  • IMG-20240519-WA0064.jpg
    111.1 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…