britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Subiri uondoke JF kama ulivyoahidi , na ukigoma tutakuondoa kwa nguvu .Nimeshangaa sana Chama ambacho ndo ventilation yetu kwenye nchi tunaanza kuonekana Kama ka kundi fulani ambako hakana dira!
Weka kichwani waza nchi ilojaa nyimbo za kizalendo nyingi, wao pia wenyewe wana nyimbo zao za uzalendo Lakin Mkutano mkuu wanaruka rege nankukanyaganaa
Ni ama kuna Uhuni ndani ya Chama mahali fulani , Au haya mambo Mwenyekiti atawakanya baadae,
Weka kichwani Mkutano wa kujadili mambo ya msingi ya maana inachezwa rege,
“WEKA REGE TURUKE NA CHEGE WEE HILI DUDE BWANA WEE LA KIMATAIFA”
Tunatakiwa kuangalia upya mwelekeo wetu
Britanicca
Nawe una wivu mwingi mno[emoji23] [emoji23] [emoji23] Chadema wana ujinga mwingi sana
Wivu umemkamata anaumwa akiona chadema wanafurahi au kuburudika🏃Subiri uondoke JF kama ulivyoahidi , na ukigoma tutakuondoa kwa nguvu .
We kama umekosa hoja nenda kalale mbonaaa ccm zinapikwa nyimbooo kibao tyu leta hoja ya msingiiiiNimeshangaa sana Chama ambacho ndo ventilation yetu kwenye nchi tunaanza kuonekana Kama ka kundi fulani ambako hakana dira!
Weka kichwani waza nchi ilojaa nyimbo za kizalendo nyingi, wao pia wenyewe wana nyimbo zao za uzalendo Lakin Mkutano mkuu wanaruka rege nankukanyaganaa
Ni ama kuna Uhuni ndani ya Chama mahali fulani , Au haya mambo Mwenyekiti atawakanya baadae,
Weka kichwani Mkutano wa kujadili mambo ya msingi ya maana inachezwa rege,
“WEKA REGE TURUKE NA CHEGE WEE HILI DUDE BWANA WEE LA KIMATAIFA”
Tunatakiwa kuangalia upya mwelekeo wetu
Britanicca
Huyu ana heshima?wewe jamaa mbona una heshima kubwa tu humu,au umevuta bangi?
Wewe CCM umefuta nini kwenye mikutano ya watu?Nimeshangaa sana Chama ambacho ndo ventilation yetu kwenye nchi tunaanza kuonekana Kama ka kundi fulani ambako hakana dira!
Weka kichwani waza nchi ilojaa nyimbo za kizalendo nyingi, wao pia wenyewe wana nyimbo zao za uzalendo Lakin Mkutano mkuu wanaruka rege nankukanyaganaa
Ni ama kuna Uhuni ndani ya Chama mahali fulani , Au haya mambo Mwenyekiti atawakanya baadae,
Weka kichwani Mkutano wa kujadili mambo ya msingi ya maana inachezwa rege,
“WEKA REGE TURUKE NA CHEGE WEE HILI DUDE BWANA WEE LA KIMATAIFA”
Tunatakiwa kuangalia upya mwelekeo wetu
Britanicca
Ila umependezwa na kinachoendelea kujadiliwa bungeniNimeshangaa sana Chama ambacho ndo ventilation yetu kwenye nchi tunaanza kuonekana Kama ka kundi fulani ambako hakana dira!
Weka kichwani waza nchi ilojaa nyimbo za kizalendo nyingi, wao pia wenyewe wana nyimbo zao za uzalendo Lakin Mkutano mkuu wanaruka rege nankukanyaganaa
Ni ama kuna Uhuni ndani ya Chama mahali fulani , Au haya mambo Mwenyekiti atawakanya baadae,
Weka kichwani Mkutano wa kujadili mambo ya msingi ya maana inachezwa rege,
“WEKA REGE TURUKE NA CHEGE WEE HILI DUDE BWANA WEE LA KIMATAIFA”
Tunatakiwa kuangalia upya mwelekeo wetu
Britanicca
Nani kakwambia nataka heshima?wewe jamaa mbona una heshima kubwa tu humu,au umevuta bangi?
basi ficha upumbavu wakoNani kakwambia nataka heshima?
Mkuu kwani mimba yako ina miezi mingapi? Mbona umechachamaa hivyo kama unataka kuzaa?Nimeshangaa sana Chama ambacho ndo ventilation yetu kwenye nchi tunaanza kuonekana Kama ka kundi fulani ambako hakana dira!
Weka kichwani waza nchi ilojaa nyimbo za kizalendo nyingi, wao pia wenyewe wana nyimbo zao za uzalendo Lakin Mkutano mkuu wanaruka rege nankukanyaganaa
Ni ama kuna Uhuni ndani ya Chama mahali fulani , Au haya mambo Mwenyekiti atawakanya baadae,
Weka kichwani Mkutano wa kujadili mambo ya msingi ya maana inachezwa rege,
“WEKA REGE TURUKE NA CHEGE WEE HILI DUDE BWANA WEE LA KIMATAIFA”
Tunatakiwa kuangalia upya mwelekeo wetu
Britanicca
Nyie Mataga Mwanzo mlisems CHADEMA imekufa,Leo mmekuja na igizo lingine.Nimeshangaa sana Chama ambacho ndo ventilation yetu kwenye nchi tunaanza kuonekana Kama ka kundi fulani ambako hakana dira!
Weka kichwani waza nchi ilojaa nyimbo za kizalendo nyingi, wao pia wenyewe wana nyimbo zao za uzalendo Lakin Mkutano mkuu wanaruka rege nankukanyaganaa
Ni ama kuna Uhuni ndani ya Chama mahali fulani , Au haya mambo Mwenyekiti atawakanya baadae,
Weka kichwani Mkutano wa kujadili mambo ya msingi ya maana inachezwa rege,
“WEKA REGE TURUKE NA CHEGE WEE HILI DUDE BWANA WEE LA KIMATAIFA”
Tunatakiwa kuangalia upya mwelekeo wetu
Britanicca
Nimeliona pia hilo sijapenda ila nadhani Hotuba ya Mbowe imejaa hekima zaidi ngoja tusikilize