Sijapendezwa na uzinduzi wa jezi za Simba kuwekwa majina ya viongozi

Sijapendezwa na uzinduzi wa jezi za Simba kuwekwa majina ya viongozi

Je club ya simba wametumika ?


  • Total voters
    4
Wamechukua jezi wameandika majina ya Viongozi Kisha wakazipandisha Kilimanjaro baadae wakazipiga mnada,
Hivi kweli walishindwa hata kuandika jina la kipa la kibrazil, kwani hawana mchezaji ambaye jina lake linauza? Hata kibonge mikison
kama jambo hulijui bora kunyamaza kimya. unajua wiki ya simba ni kwa ajili ya nini ? Unajua kuna hospitali za mama na mtoto Dar na Zanzibar zinajengwa ? Kwa taarifa yako mauzo yote ya leo wala Simba hawachukui hata senti. zote zinaenda kwenye jamii hsa kwenye hopsitali nilizokwambia.
 
Wamechukua jezi wameandika majina ya Viongozi Kisha wakazipandisha Kilimanjaro baadae wakazipiga mnada,
Hivi kweli walishindwa hata kuandika jina la kipa la kibrazil, kwani hawana mchezaji ambaye jina lake linauza? Hata kibonge mikison
ni ubunifu wao hakuna haja ya kuwapinga

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Wamechukua jezi wameandika majina ya Viongozi Kisha wakazipandisha Kilimanjaro baadae wakazipiga mnada,
Hivi kweli walishindwa hata kuandika jina la kipa la kibrazil, kwani hawana mchezaji ambaye jina lake linauza? Hata kibonge mikison
Huu wivu wa kijaluo peleka kwenu Kisumu. Kwani hizo hela zinazopatikana zinakwenda kusaidia wodi ya wazazi kwenye Hospital ya Taifa Muhimbili.
 
Mbona ulichokiandika hakieleweki.
Hoja YAKO ni Nini HASA?????

Mbona mnaidhalilisha JF kwa kuandika Pumba
MNAJAZA seva Bure.

Mtu verified kabisa Baada ya kuandika mambo ya Muhimu, issue Constructive inapiga MAUMBEA UMBEA.


Aibu yako.
Huyu akishashiba uji anaandika pumba tupu
 
Yanga ilipozindua ilimpelekea Rais ikampa iliandikwa jina vip uliongea haya unayoongea? Hakuna kiongozi wa kisiasa aliyepewa. Amepewa Rais na Makamu wake na wote waliopewa wamepewa kwa nyadhifa zao za kiserikali na sio chama. Ndio maana baadhi ya waliopewa kama Tulia anajulikana ni Yanga lkn kapewa kwa nafasi yake
Yeye ni Simba lakini unataka aongelee Yanga. Halafu Tulia kashabikia Yanga Tangu mwaka gani?
 
Mbaya zaidi viongozi wanaouza bandari za Tanganyika, hii inaweza kupelekea chuki, chonde viongozi wa Simba huu mchezo usijirudie.
 
Back
Top Bottom