JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
LC100 they are not v8 actually.V8 bwege ndio zipi hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LC100 they are not v8 actually.V8 bwege ndio zipi hizo
Ili tusiokote hata nyama zao wala mifupa wakichochora vichakani.
Huyu jamaa ni ile aina ya watu limbukeni, yaan n mshamba flani aliyekosa exposure. Kuna uzi mwngne pia naona comment zake zmekaa hv hv kiujuaji juaji & matus matusi. Lakn ukisoma content ya alichokiandika unajua kabisa huyu n bushmen a.k.a wa kuja,,,,,,,, so u just ignore him.Bwana mkubwa,usitukane au kudharau usiowajua. Hapa tunajadili magari tangu mwanzo mpaka ulipokuja wewe hakuna mtu kamtukana au kamdharau mwingine.
Ulimchokoza mwenyewe akaona ngoja akuonyeshe namna ya kukanyaga pedal. Hao wa hivyo usiwekeane nao ligi ni hatariKuna kajamaa juzi kalikuwa na Subaru sijui kafunga na mabomba mengi mengi huko nyuma uwii tulilianzisha kuanzia round about ya kuingia TPA eti kisa nilimpita huko waterfront....mseng€e anaendesha gari kama kalogwa vile ...yaan alinipita kama upepo pale TPA jumapili hiyo hakuna foleni, si nikamkimbiza[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikumpata!
Tukalipia kivuko, huku ananichungulia dirishani, nikamkimbiza tena, jamani alitoka nduki mjinga yule sikumuona tena hadi nafika round about ya kibada sikuona hata kakatishia wapi[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji2]
Nilicheka sana aseee
Sema raha sana mambo hayo[emoji38]Ulimchokoza mwenyewe akaona ngoja akuonyeshe namna ya kukanyaga pedal. Hao wa hivyo usiwekeane nao ligi ni hatari
Biem X6Uikua na chuma gan?
Mm mwenyewe nimechekaaaKuna kajamaa juzi kalikuwa na Subaru sijui kafunga na mabomba mengi mengi huko nyuma uwii tulilianzisha kuanzia round about ya kuingia TPA eti kisa nilimpita huko waterfront....mseng€e anaendesha gari kama kalogwa vile ...yaan alinipita kama upepo pale TPA jumapili hiyo hakuna foleni, si nikamkimbiza[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikumpata!
Tukalipia kivuko, huku ananichungulia dirishani, nikamkimbiza tena, jamani alitoka nduki mjinga yule sikumuona tena hadi nafika round about ya kibada sikuona hata kakatishia wapi[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji2]
Nilicheka sana aseee
We acha tuMm mwenyewe nimechekaaa
Dogo alikuwa hata ujinga kaona manzi ananiachaje
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Luxury cars ni Bentley, Rolls Royce, Lamborghini, Maybach, Aston Martin, Ferrari, Pagani, Bugatti.Subaru ni sports car toyota ni semi luxury na luxury car. Kwahiyo hata seating position zake zipo kisport.
Mark X 2.5 inazishalisha 203 horsepower, hivyo itazichapa zotePoint number 4 naomba nikuweke sawa.
Harrier engine 2AZ-FSE inazalisha 160HP
Brevis Ai250 1JZ-FSE inazalisha 197HP
Hapo numbers dont lie, Brevis itaichapa harrier katika namna yeyote ile when it comes to power.
Umeme waHalafu iwe diesel..
Wazi kabisa kichapo ni cha kwendaMark X 2.5 inazishalisha 203 horsepower, hivyo itazichapa zote
Hjzo ni Crossover SUV'sKuna kitu watu wengi hatuelewi vizuri. Harrier, rav4, subaru forester and the like siyo SUVs zenye uwezo wa SUV. Ili ujue gari yako ni SUV lazima suspension system iwe na uwezo wa kuiweka gari juu hata kama imebeba mzigo katika kiwango chake cha mwisho (maximum cargo).
Harrier, rav4, subaru forester and the like ikibeba maximum cargo gari inashuka chini kiasi cha kuwa na ground clearance sawa na sedan. Hivyo hizo gari mnazoita SUV mnazolingishiana humu ni sedan zenye umbo la SUV.
Pili, SUV lazima iwe na uwezo wa kupita barabara mbovu (rough road) bila ya kuumiza suspension system kama zilivyo Landcruiser, Toyota fortuner, toyota hilux surf and the like.
Hivyo kama unayo harrier hauna tofauti na mwenye sedan kwa habari ya ground clearance na sedan kama bmw, macedes, crown, mark x, audi, lexus zinaweza kuwa na suspension imara kuliko harrier. Suspension za luxury sedan huwa ni multi-link pamoja na double-wishbone ambayo inakufanya usisikie mkito wa gari kwenye tuta, rough road na hata mashimo madogo.
Mimi ninacho ona ni vyema kununua gari unalopenda na siyo kwaajili ya kulingishia wengine.
Amarok atakua ganstar mpaka pale atakapokutana na LC 300..Hili dubwana lote la nini?
Amarok tu inacharaza watu viboko hawaamini wanachokiona.
Range Rover umeshaendesha?Gari ni v8 tu ,hizi zingine ni umasikin tu unatusumbua
BMW X3 siyo sedan. Ni SUV crossover. Wewe ulikuwa na SUV brand gani alipokuchapa raba?Sure yule jamaa ni mbishi aisee sio poa kwa namna alivyonikata ni kama alikua ananivimbia mie niko na SUV yeye Sedan ila hiyo speed aisee hatari kubwa
Amarok second gen kuna toleo lina 300HP halafu gearbox ni gear 10.Amarok atakua ganstar mpaka pale atakapokutana na LC 300..
Siyo kuisha tairi zitawaka moto.Kwa Bugati Veyron yenyewe ikitembea kwny top speed yake non stop then Tyre zake zitaisha ndani ya dakika 15 na tank lake la Mafuta litaisha ndani ya dakika 12 tu.