Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

Huko mbali, mrushie corolla altis tu ina top speed 240km/h na comfo yake ataenda kusimulia... halafu bei kitonga kwa mjeru huo utamu kuupata inabidi ujipange..
BM944565_21f3e3.jpg

BM944565_b7418f.jpg

BM944565_3e25c1.jpg

BM944565_ba65ad.jpg
Huyu ni mjapani ila mwenye standard ya wazungu.

Mostly ikizingua gearbox kuna chance ya kuvisha gearbox ya kijapani...

Mfano, kuna RX330 nyingi sana humu road ambazo zilizingua gearbox mtu akaamua kuvua engine na gearbox(1mz engine na u151 gearbox) akavisha vya harrier(2az engine na u141e gearbox).
 
Mnaopenda ligi nawaletea mnyama huyu mfukuzane naye🐒

View attachment 2461271
se-image-204c6caaa086fafe35dc6199ebe10880.jpg


Mkuu bila shaka hio ni chiron, hio utawanyanyasa autobhan lakini kwa Tanzania ukitaka watu wakuonee mwezini chukua mnyama RAM Hennessy Mammoth 1000, chuma ina HP 1000, halafu lilivyo juu sasa utakubali, hili bumps linafukia tu.
Ni bonge moja ya chuma imekwenda hewani lakini ligi zake Lamborghini ikiwa ya kizembe haina nafasi hapo.
TopGear%20-%20Hennessey%20Mammoth%201000-064.jpg


Chuma lina vurugu sana.... Yani hili kupanda bumps na 140 ni kawaida...

hennessey-mammoth-1000-suv_400x333.jpg

mammoth-1000-ram-rtx-31-768x512.webp


Kuna hao jamaa wanaitwa heneessy wanazi mod hizi gari, balaa tupu.
 
Huyu ni mjapani ila mwenye standard ya wazungu.

Mostly ikizingua gearbox kuna chance ya kuvisha gearbox ya kijapani...

Mfano, kuna RX330 nyingi sana humu road ambazo zilizingua gearbox mtu akaamua kuvua engine na gearbox(1mz engine na u151 gearbox) akavisha vya harrier(2az engine na u141e gearbox).

Kwani gearbox iliyopo humu ni ya mzungu?
 
se-image-204c6caaa086fafe35dc6199ebe10880.jpg


Mkuu bila shaka hio ni chiron, hio utawanyanyasa autobhan lakini kwa Tanzania ukitaka watu wakuonee mwezini chukua mnyama RAM Hennessy Mammoth 1000, chuma ina HP 1000, halafu lilivyo juu sasa utakubali, hili bumps linafukia tu.
Ni bonge moja ya chuma imekwenda hewani lakini ligi zake Lamborghini ikiwa ya kizembe haina nafasi hapo.
TopGear%20-%20Hennessey%20Mammoth%201000-064.jpg


Chuma lina vurugu sana.... Yani hili kupanda bumps na 140 ni kawaida...

hennessey-mammoth-1000-suv_400x333.jpg

mammoth-1000-ram-rtx-31-768x512.webp


Kuna hao jamaa wanaitwa heneessy wanazi mod hizi gari, balaa tupu.
Hilo mkuu inabidi sasa uongozane kabisa na msafara ule unaosema kuna abnormal wide load inapita maana unaweza kuparamia baby walker ya mtu ukajua umevuka tuta
 
Back
Top Bottom