Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kipigo kiko pale pale 🤣🤣🤣Extrovert edwayne makaratasi haya hapa amueni wenyewenani mkali hapoView attachment 2463266View attachment 2463267
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipigo kiko pale pale 🤣🤣🤣Extrovert edwayne makaratasi haya hapa amueni wenyewenani mkali hapoView attachment 2463266View attachment 2463267
Mzee unampiganisha mandonga na Tyson, Anthony Joshua, halafu unasheherekea ushindi wa Tyson na Anthon 🤣🤣🤣?kuna GLE AMG , kuna G-Wagon, kuna Range Rover Sport Svr, kuna Range vellar edition, kuna GLS650 maybach kadha wa kadha hapo bongo zinaikalisha hiyo Lc300 mchana kweupeee.... c.c 100 others
Toka 2018Hii iliyotoka juzi?
kwann mkuu... Sema US ana ujanja ujanja fulani kwenye magari yake.American cars are jokes to European car [emoji1787][emoji1787][emoji1787]magari ya USA ni Mjapani aliyechangamka
Engine size kubwa ila output almost sawa na german cars tena zinaweza zidiwa..kwann mkuu... Sema US ana ujanja ujanja fulani kwenye magari yake.
Hahahahah hio jtakuwa Jeep SRT sio Trackhawk mzeeEngine size kubwa ila output almost sawa na german cars tena zinaweza zidiwa..
Kuna drag race moja niliiona Porsche Cayenne Turbo GT na BMW X6M zinaichakaza Jeep trackhawk. Zote zina engine size ndogo.
Mnaziamini sana American Cars.Hahahahah hio jtakuwa Jeep SRT sio Trackhawk mzee
Hapa napo amelambishwa mchanga.Hahahahah hio jtakuwa Jeep SRT sio Trackhawk mzee
hapo dungu E Class hazikosi hapo. Hizi gari unaweza ukawa 100+ ila inavyobembeleza unaweza ukasinzia kabisa, kumbe huku nje raia wanaulizana unakimbilia wapi.Kuna video nilikuwa naangalia siku si nyingi youtube. Siku si nyingi.
Bahati mbaya sana ninesahau ni gari gani.
Ilikuwa ni Autobahn na jamaa alikuwa anaswitch lanes barabarani au 300+ Km/h.
Kwenye comment watu walikuwa wanamshangaa. Unadhani ni kwanini?
Kuna gari at 120 tena ukiwa umefunga vioo unafeel kama gari haiendi. Unafeel kama upo 50.
Gari hazifanani kabisa.
mnapokuwa mnaringanisha kama gs 350 na 520i huwa mnaona mpo sawa ? mmepewa doze kidogo tu mnaliaMzee unampiganisha mandonga na Tyson, Anthony Joshua, halafu unasheherekea ushindi wa Tyson na Anthon 🤣🤣🤣?
hapo mnacheze mapem tuKipigo kiko pale pale 🤣🤣🤣
Magari ya USA ni CC kubwa tuu kama train ya diesel lakini hamna kitu. Mpaka trump alilalamika mbona wazungu wa Ulaya wanauza magari yao mengi USA ila magari ya USA hayahuziki Ulaya. Wajerumani wakawajibu tengenezeni magari mazuriEngine size kubwa ila output almost sawa na german cars tena zinaweza zidiwa..
Kuna drag race moja niliiona Porsche Cayenne Turbo GT na BMW X6M zinaichakaza Jeep trackhawk. Zote zina engine size ndogo.
IST ni bodabodaWengi hamuitaki kisa ni sare sare maua, vp hawa watumia IST [emoji119].... Yaani IST ni kama jalaa... Kila mtaa lipo!
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Hata design ni za hovyo sijapata kuona.Magari ya USA ni CC kubwa tuu kama train ya diesel lakini hamna kitu. Mpaka trump alilalamika mbona wazungu wa Ulaya wanauza magari yao mengi USA ila magari ya USA hayahuziki Ulaya. Wajerumani wakawajibu tengenezeni magari mazuri
In short: gari ndogo zenye body kubwaKuna kitu watu wengi hatuelewi vizuri. Harrier, rav4, subaru forester and the like siyo SUVs zenye uwezo wa SUV. Ili ujue gari yako ni SUV lazima suspension system iwe na uwezo wa kuiweka gari juu hata kama imebeba mzigo katika kiwango chake cha mwisho (maximum cargo).
Harrier, rav4, subaru forester and the like ikibeba maximum cargo gari inashuka chini kiasi cha kuwa na ground clearance sawa na sedan. Hivyo hizo gari mnazoita SUV mnazolingishiana humu ni sedan zenye umbo la SUV.
Pili, SUV lazima iwe na uwezo wa kupita barabara mbovu (rough road) bila ya kuumiza suspension system kama zilivyo Landcruiser, Toyota fortuner, toyota hilux surf and the like.
Hivyo kama unayo harrier hauna tofauti na mwenye sedan kwa habari ya ground clearance na sedan kama bmw, macedes, crown, mark x, audi, lexus zinaweza kuwa na suspension imara kuliko harrier. Suspension za luxury sedan huwa ni multi-link pamoja na double-wishbone ambayo inakufanya usisikie mkito wa gari kwenye tuta, rough road na hata mashimo madogo.
Mimi ninacho ona ni vyema kununua gari unalopenda na siyo kwaajili ya kulingishia wengine.
Mkuu unisaidie na mimi hapo hiyo gari (harrier) ndio nategemea kuagiza mwezi February 2023 baada ya majadiliano na mama chanja kati ya harrier na rav 4 miss Tz. Sasa nimeona huu uzi nimekuwa discouraged. Kwa hiyo niendelee na mchakato wa bora rav 4 Miss Tz? Msaada please. Nitashukuru kama utanieleza kwa kina. Asante mkuu.Wewe utakuwa mmiliki wa Crown au ndugu zqke Akina Mark X,Brevis
Nunua Harrier ni gari nzuri tu. Ni luxury kuliko Rav4. Hapa ni majadiliano tu. Cha kuzingatiq usiwa mtu wa mambio yasiyo na maana otherwise ni gari nzuri tu. Pia angalia usinunue ile ya cc3000 ukaichukia nunua ya cc2400 2az engine I think.Mkuu unisaidie na mimi hapo hiyo gari (harrier) ndio nategemea kuagiza mwezi February 2023 baada ya majadiliano na mama chanja kati ya harrier na rav 4 miss Tz. Sasa nimeona huu uzi nimekuwa discouraged. Kwa hiyo niendelee na mchakato wa bora rav 4 Miss Tz? Msaada please. Nitashukuru kama utanieleza kwa kina. Asante mkuu.
Nashukuru mkuu.Nunua Harrier ni gari nzuri tu. Ni luxury kuliko Rav4. Hapa ni majadiliano tu. Cha kuzingatiq usiwa mtu wa mambio yasiyo na maana otherwise ni gari nzuri tu. Pia angalia usinunue ile ya cc3000 ukaichukia nunua ya cc2400 2az engine I think.