Wewe ndio unafata mkumbo wa ubishi, tako la nyani ni gari luxury sana tu kulingana na bei yake, tatizo lake ni nyepesi zinapata ajari sana hasa kwa walevi, engine haina nguvu kiukweli inazidiwa kila kitu na vanguard ila ni nzuri kwa mwonekano na ndiomaana imeuza sana sio bongo tu harrier inauza mpaka marekani na uingereza , ila chuma imesimama na inamwonekano wa kishua bro kila mtu anapenda vitu vizuri hayo mambo ya engine na ulaji wa mafuta ni minor kitu cha kwanza mvuto, usipoielewa harrier demu wako ataielewa.