Sijawahi kufika kileleni

Sijawahi kufika kileleni

inaelekea hao wanaume ulokuwa nao they dont knw how to handle a girl 0769973242 for more advice
 
duh!!,umekeketwa??

Ivi ni kweli kuna uhusiano kati ya kukeketwa na kutokufika kileleni? Mbona mi nna kazi mbili za kijaruo na moja ya kigogo zote hazina kaseja lakini mara zote nnapokutana nao uwa nawapa mambo mpaka wanakubari na mmojakati ya wajaruo uwa anapiga kelele na kugeuza macho utafikiri anakata roho muda si mrefu? Mi nadhani tatizo ni maandalizi na ubunifu tu.
 
we unavoonyesha una stress....kwenye hayo mambo weka stress pembeni then akili yako na viungo vyako vifikirie lile tendo.
 
pole sana milima mifupi ipo ila kiherehere chako cha kupanda milima mirefu ndiyo maana hadi leo bado hujafika kileleni siku nyingine panda milima mifupi utakifa haraka
unang'ang'ania mlima kilimanjaro wakati kuna milima mifupi ya uluguru
 
Ivi ni kweli kuna uhusiano kati ya kukeketwa na kutokufika kileleni? Mbona mi nna kazi mbili za kijaruo na moja ya kigogo zote hazina kaseja lakini mara zote nnapokutana nao uwa nawapa mambo mpaka wanakubari na mmojakati ya wajaruo uwa anapiga kelele na kugeuza macho utafikiri anakata roho muda si mrefu? Mi nadhani tatizo ni maandalizi na ubunifu tu.

Acha uongo wajaluo huo hawakeketi wa wanaume hawatahiriwi.
 
Kwa hiyo mashine imeshakwenda miles za kutosha?

Nisaidieni wana jf, Mimi ni mwanamke namiaka 35 ,nimeshakuwa na mausiano mengi tu, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya
 
inabidi upate anayejua kupiga vigelegele sana...na wale wanaoramba kila "triangle".........ila kumbuka hata kichuguu kina kilele chake,dari ina kilele,na bati ina kilele....kwa umri wako tulia tu na uliye nae,usihangaike..utakuja kukosa kabisa cha kupanda.
CC: watu8
 
Last edited by a moderator:
Nisaidieni wana jf, Mimi ni mwanamke namiaka 35 ,nimeshakuwa na mausiano mengi tu, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya

Hapo kwenye bold kuna walakini, inawezekana ulianza kwa kuwa na mpenzi wa tofauti na jinsia ya kiume, akili na mwili vikazoea aina hiyo ya mpenzi. Kama ni hivyo, tembelea washauri nasaha na useme ukweli utasaidiwa.
 
njoo nikufundishe utafika mpaka uchoke mamie..
 
mnh hamna mwanamke asiyefika duniani,usitudanganye hapa kama uongo jaribu mastabesheni uone kama hutafika,cha muhimu ni kumuambia guy wako sehemu zinazokufikisha,wanaume nao ni watu kufanya makosa kitandani ni acceptable wao sio wapiga ramli:shut-mouth:
wapo wanawake ambao hawafiki kileleni.karibu huku uchagani uwaone
 
NImekuwa katika mahusiano na mademu watatu katika maisha yangu ya ujana wanafurahi navowaridhisha coz sipendi kumaliza peke yangu huwa ina papara ili tugote wote ajabu hadi leo hawataki kuniacha wameridhika ingawa wanafahamiana nimewaambia naangalia life lang zaidi sitaki die with no tittle with no mali halali wanakuja kupata dawa kwa time yao so walume eeeeeh tusilegeee tuwape dawa nguvu chache ujanja mwingi
 
yaani wewe hata sijui utasidiwa vipi sasa si uwaambie hao mabwana zako sisi hatuwezi kukufikisha kileeleni kupitia internet hiyo mosi pili kama hauko shy kaa uangalie kamasutra na mpennzi wako mfundishwe mapenzi hope itawasaidia
 
Nisaidieni wana jf, Mimi ni mwanamke namiaka 35 ,nimeshakuwa na mausiano mengi tu, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya

pole sana Jenu kwakukosa raha duniani na hivi umri ndio unazidi kusonga ndivyo matumaini ya kupata kautamu yanapungua lol!
 
Inaonekana ulishawi fikishwa ila unataka fanya comprative analysis maana ulijuaje kama kuna kufikishwa KILELENI????!!!!!
 
Umejuaje kama hujawahi kufikishwa iwapo hujui raha yake. Pole kwa kuikosa dunia.
 
Hebu jaribu kuangalia ushauri wa kisaikolojia, Hapa watatokea wa kutaka kukukula......
 
Back
Top Bottom