Pole dada, naheshimu sana hisia zako kama binadamu yeyote na mimi kama mtaalamu wa psychology nakupongeza kueleza hisia zako kwakuwa si kawaida kwa wengi wenye aibu.Nakushauri uvumilie majibu ya wengi hapa yatakukatisha tamaa, wapo watakaokutania na kukejeli we usijali soma comment zote chukua ufanyie kazi zile nzuri.
Kabla ya kutoa majawabu ya matatizo yako ingekuwa vema sana ukaeleza kama umekeketwa, au kama umewahi kuchana na mpenzio wako kwa shari kubwa ambayo pengine imekuathiri kisaikolojia.
Zingatia yafuatayo;
1.Kuwa na mpenzi 1 ambaye utajifunza naye mbinu tofauti kwa muda
2.Wakati wa tendo mweleze mwenzio asiwe na haraka kuchomeka sime kwenye hala, akuandae upate hamu ya tendo la ndoa yaani akuguse sehemu muhimu katika mwili wako kama kupitisha ulimi kwenye sikio, kugusisha chuchu kwa ulimi na hata kujaribu kunyonya, ukisikia uko tayari mwambie asimike sime kwenye hala kisha atulie huko wakati huohuo anaendelea kugusa maeneo muhimu katika mwili wako.
3.Wewe anza kuchezesha kiwili kuwezesha sime iliyopo kwenye hala kuchokonoa kuta za hala naye aanze taratibu kukuunga mkono kuchezesha kiwili, mambo yakichanganya wewe jaribu kubana misuli ya uke endelea hadi mwisho natumai utafika Pale Kilele cha kusahau kero za dunia kwa muda.
NOTE; Suala la kufika kileleni inahitaji sana ushirikiano kati yenu wote wawili, kuwa makini sana usimkatishe tamaa mpenzi wako wakati akiwa katika tendo la ndoa, kama kuna jambo hulipendi kwa mwenzio mfano ulevi usifanye naye tendo kwakuwa hutampa ushirikiano wakati wa tendo hilo muhimu. usimweleze jambo la kumkera kabla na wakati wa tendo ili usimkere.
Usikate tamaa bado ni mapema sana kwako na unayo nafasi ya kujifunza mapenzi.
Naomba kuwasilisha.