Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Nilitaka kushangaa eti story iende mpaka mwisho bila excuses!!!!!! Labda sio humu!!! Ila kwakuwa ni ihari yake arudi hata mwakani .
Mtu unaweza ukawa unapigania maisha kitandani, ila huku JF wanakunanga kisa muendelezo wa story.

Dharura haina hodi mkuu, kuna siku wewe muweza wa yote utaelewa. πŸ™πŸ™
 
"...Hivyo ndivyo Mzee KY alivyotufanya timu nzima. Yani kipindi Mimi na Mzee Dingi tunatukanana barabarani kisa dili limedelay, kumbe kwenye dili lenyewe wote tumeshatolewa..."[emoji23][emoji23]
 
Akini mkuu apostle why haujifunzi kila mara unasngukia pua tu then unarudia kosa lilelile. Afu hiyo namba kwa nn hukuitupa
Alafu alisahau kuchukua mbinu kwa Mzee Dingi ya namna ya kurudi nyumbani, ya kupanda daladala zaidi ya moja yaani unaenda point A ila unapanda ya daladala inaenda point C kisha unarudi B alafu ndo unaenda A. Ikapelekea mzee KY akamfuatilia Aposto wakati anaenda kwa mama mstaafu, huenda angetumia mbinu hiyo mzee KY asingeambatana nae kwa mstaafu.

Hapo angekuwa amemuokoa mstaafu japokuwa angekuwa tena na wakati mgumu wa uadui na kina mzee Dingi, KY etc
 
Apostle ni mzito kichwani kuamua mambo kwa haraka
 
Japo hu c uzi waswali ila mi najibia huku mkuu uko vzur, shusha vitu kesho yetu ndo hii πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…