Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

Hapana Mkuu kwasasa nipo Nyakibimbirii hukuuu nakula matoke πŸ˜‚
Mi sikufati banaπŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ nilikua na antonnia wangu zamani sana tunachanganya abari hapo mitaa ya samora
Km mmasai km mmeru tall so long ,sexy and well maintained.
Tulipendana sana sana
 
Mi sikufati banaπŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ nilikua na antonnia wangu zamani sana tunachanganya abari hapo mitaa ya samora
Km mmasai km mmeru tall so long ,sexy and well maintained.
Tulipendana sana sana
Ulikubalije aondoke kirahisi sasa mkuu nawewe!!!😊!
Siku ukionana naye msamilie sana!!
 
Uwe unanitag na mm kaka ila naomba kuuliza ile story yako ya kwanza ilionesha kama ulitoboa maisha na hukuendelea na shule na mzee alibariki
But hii inaonesha umeenda advance inachanganyaa mzee
Story huwa nazileta kwa vipande, but haimaanishi na matukio yameachana. Haya ni mambo yanayotokea simultaneously. Mfano ile story ya mama mwenye nyumba, ilitokea kipindi hiki nikiwa nishamaliza chuo. Story ya baby mama ilikuwa kipindi nimeondoka home n.k

Rudi kwenye hiyo story unayosema Mzee alinibariki na sikuendelea na shule, soma kipande cha mwisho Cha ile story, utaona habari za chuo, na jinsi gan Mshua alikuwa ananiambia. Nadhani ile story hukuisoma ukiwa na utulivu. Kairudie.
 
Ulikubalije aondoke kirahisi sasa mkuu nawewe!!!😊!
Siku ukionana naye msamilie sana!!
Ujana tena,
Mara ya mwisho tumekutana hapo Samora karibia na nppf mi niko na mizunguruko yangu anasukuma range.
Kasimama hivi we bado upo?
Namjibu niende wapi?
Kajibu mi bana nimechoka na mambo yako bye,😁huyo kateleza
 
Mkuu endelea mapema kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…