Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee

@analyse , uko serious ulipitia haya au unatupiga kamba?
mpaka chale, hirizi, kuoga sehemu ya wazi....[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44],

kumbe akina UMUGHAKA mko wengi aiseee...... yeye alipiga miti jini
Kwamba chale ndio zinakutisha mkuu? Mbona vitu vidogo hivyo, wapo waliopitia zaidi ya hayo
 
Aisee Hii Dunia ni zaidi ya tuijuavyo. Kuna vitu vingi sana vipo beyond our explanations.......
Hapo sasa ndio unaanza kuifaham dunia, kuwa kuna kitu kinaitwa ulimwengu, na huko kuna ulimwengu wa roho, wenye falme mbili, ufalme wa Mungu na ufalme wa Ibilisi.

Cha ajabu huenda uliyoyashuhudia ikawa ni tone tu kwenye bahari.
 
chai
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ofisini hatuji na bahasha, jamaa wahuni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…