Varbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 885
Katika maisha yangu nimewavunja watano wawili nilikaa nao japo niliemuoa wala sio Mie nilimvunja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda uchagani vijijiniUongo dhambi.
Nasikiaga tu stori juu ya uvunjaji wa yai kwa kwenzangu tuuu. Lakini mimi bunafsi sijawahi kukutana na mwanamke mpya. Sijui kama ni ushamba, ulimbukeni ama nini.
Hata mke wangu niliyemuoa jamaa walishapita nae, makoloni yangu yote mabaharia walishapita nayo. Kikubwa heshima inapatikana.
Hivi niko peke yangu ama kuna wenzangu nao bado hamjabahatika kuvunja yai?
😂Ukiwa nayo wewe inatosha. Toa jicho Hilo watu waandike historia kupitia wewe
Kwani mtu ukisoma mpaka chuo ndo....Mie nashangaa sana eti unakuta humu kuna mijitu ina akili timamu kabisa na imesoma mpaka vyuo halafu jitu linakuja kuoa demu asiye na bikra hata moja! Yaani wahuni walishavunja komeo la mlango wa mbele na kuhamisha bawaba za mlango wa nyuma😆😆😆
The worst thing ni kwamba hata wakiolewa bado huwa hawamsahau mwanaume wa kwanza kuwafungulia dunia kuwa wanachotakanilisha watoa kama 3 ivi, wanachosha sana kwenye kutoa na mda mwingine ni kero, nimeachana nao but wananiheshimu sana mpaka leo.
😂😂😂😂😂 Habari za bikra tumuulize nashi mc na demu wakeVita Vya Kung'atana Meno Acha Kabisa
Hizo nazo story za vijiweniThe worst thing ni kwamba hata wakiolewa bado huwa hawamsahau mwanaume wa kwanza kuwafungulia dunia kuwa wanachotaka
Nash MC Hajawahi Kuishiwa Tukio😂😂😂😂😂😂😂 Habari za bikra tumuulize nashi mc na demu wake
Kuna ile moja ety anamuomba mkewe jicho adi analia kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nash MC Hajawahi Kuishiwa Tukio😂😂
Ahahaaaaa 😁 pole mkuu wahuni sio watu wazuri2014.....niko najitolea mahali baada ya kutoka JKT nksubr kwnda chuo mwez Nov, nlikutana na binti mmoja mzur sana, dini sana yan, akanielewa,tukadate huku akiwa kanihakikishia kuwa yeye ni bikra, ile 2015 april nkiwa chuon yeye yupo dar, tukapanga kuonana, huyo nikasafr from Dom to Dar, meeting her by suprise she wasn't a virgin, nliumia sana..... akaniomba msamaha maisha yakaendelea nko nae adi leo ila ukwel alinitoa kwenye plan zangu kabsa 'bnafs nlipanga mwanamke ntakaemtoa bikra ndo ntakae muoa' ila ndo hvo tena, Huu uchungu haujawah isha sijui kwanin, nyuzi za hivi huwa znaniumiza mno mpaka sasa.