Nataman kujua anyonye nini...Uwe unanyonya, afu lete mrejesho.
Dadavua kiunagaubaga mkuuGegedo lako lina walakini.
Bado sijapoa,naomba nipe mbinu mbadalaPole
Kaka jambazi nimekupata kwa uzuri kabisa kwa ushauri wako muruaUwe unanyonya, afu lete mrejesho.
Vipi kuhusu machozi ya sisi wazee hayana nuksi kwenuAnayepaswa kuliliwa ni Mungu pekee! Machozi ya mwanamke si ishara ya njema kwa mwanaume kwani aliapo mwanamke kutokana na maumivu umsababishiayo lazima mikosi itakuandama hapo baadae
Aise paprika nawe ni tipwatipwa?Matipwatipwa wengine tuna roho za chuma!!! [emoji23][emoji23][emoji23] ukitoa kibuti ndo kwanza tunanunua soda na kurelax
Mzee bujibuji tengua kauli ya kibamiaNani alilie kibamia?