Sijawahi kuliliwa na mwanamke, huu ni mkosi au?

Sijawahi kuliliwa na mwanamke, huu ni mkosi au?

Ntandaba

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
922
Reaction score
1,483
Suala la kuliliwa nalishuhudia kwa wenzangu tu, umri sasa unanigongea hodi lakini mpaka sasa sijabahitika kukutana na mtoto shombeshombe au tipwatipwa aliyejaribu walau kutoa leso yake na kufuta malengelenge ya machozi kwenye macho yake kwa kitendo cha kumwacha. Huu si mkosi kweli?

Nifanyeje wandugu, kwa sababu kama ni pesa zimenitoka sana, mwisho mimi ndiye nakuwa mzee wa kuwapigia magoti kuokoa manowari isizame.
 
Mikosi na nuksi zinakuandama..!jiongeze apo!
 
Anayepaswa kuliliwa ni Mungu pekee! Machozi ya mwanamke si ishara ya njema kwa mwanaume kwani aliapo mwanamke kutokana na maumivu umsababishiayo lazima mikosi itakuandama hapo baadae
Vipi kuhusu machozi ya sisi wazee hayana nuksi kwenu
 
labda siyo handsome mkuu... na pia pima gegedo lako na vidole vyako vikilingana urefu basi ushapata jibu..!
 
Back
Top Bottom