Sijawahi kuliliwa na mwanamke, huu ni mkosi au?

Dah sijawahi kuwa na demu kwenye mahusiano nisimlize kama mara kumi nikiongelea suala la kumuacha akianza kuzingua
 

Kwa hiyo unaliliwa na vimbau mbau ma black?
 
Mi nishaliliwa sana kama Rob anavyomoilia Chyna[emoji23]
 
Kuna moja nakumbuka lillinililia baad ya mm kumtongoza akanikataa nikasepa zang...akarud baada ya miezi mitatu anadai anapenda na mm nikamkataa...alilia sana...na mpaka now ananipenda lkn cmtak tena...vp nikupe no zake?
 
Kuna moja nakumbuka lillinililia baad ya mm kumtongoza akanikataa nikasepa zang...akarud baada ya miezi mitatu anadai anapenda na mm nikamkataa...alilia sana...na mpaka now ananipenda lkn cmtak tena...vp nikupe no zake?
Hahhahahah
 
Pole sana kila mtu na fani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…