Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,371
- 2,834
Zimebaki mbili, Naomba moja[emoji23] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Akuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimebaki mbili, Naomba moja[emoji23] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Akuuu
Uchoyo Mungu hapendi.Akuuu
Uchoyo wa dhambi anaupenda!Uchoyo Mungu hapendi.
Hahhhah, Sawa Bibie.Uchoyo wa dhambi anaupenda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhah, Sawa Bibie.
Nisije kukulilia bure, Nikawa kama mtoa Mada[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
Suala la kuliliwa nalishuhudia kwa wenzangu tu, umri sasa unanigongea hodi lakini mpaka sasa sijabahitika kukutana na mtoto shombeshombe au tipwatipwa aliyejaribu walau kutoa leso yake na kufuta malengelenge ya machozi kwenye macho yake kwa kitendo cha kumwacha. Huu si mkosi kweli?
Nifanyeje wandugu, kwa sababu kama ni pesa zimenitoka sana, mwisho mimi ndiye nakuwa mzee wa kuwapigia magoti kuokoa manowari isizame.
HahahahahahNani alilie kibamia?
HahhahahahKuna moja nakumbuka lillinililia baad ya mm kumtongoza akanikataa nikasepa zang...akarud baada ya miezi mitatu anadai anapenda na mm nikamkataa...alilia sana...na mpaka now ananipenda lkn cmtak tena...vp nikupe no zake?
Pole sana kila mtu na fani yakeSuala la kuliliwa nalishuhudia kwa wenzangu tu, umri sasa unanigongea hodi lakini mpaka sasa sijabahitika kukutana na mtoto shombeshombe au tipwatipwa aliyejaribu walau kutoa leso yake na kufuta malengelenge ya machozi kwenye macho yake kwa kitendo cha kumwacha. Huu si mkosi kweli?
Nifanyeje wandugu, kwa sababu kama ni pesa zimenitoka sana, mwisho mimi ndiye nakuwa mzee wa kuwapigia magoti kuokoa manowari isizame.
Shangaa na weweEeh yani katika vyote vya kutamani unatamani kuliliwa?
HahahaUwe unanyonya, afu lete mrejesho.