Sijawahi kuliliwa na mwanamke, huu ni mkosi au?

Sijawahi kuliliwa na mwanamke, huu ni mkosi au?

Una nyota ya kupiga magoti na kuomba sana. Jaribu kua mlokole maana huko utapiga magoti na kuomba sana vilevile utatoa sadaka sana
 
Me Nawaza How Can Generate More Money We Unawaza Jinsi Ya Kuliliwa ? Hii Ndo Tz
 
Mzee usiombe yakukute hayo, Utatoa ATM card na PIN yake na ukizubaa hata hati ya nyumba na kiwanja. Maana unaonekana si mbahiri.

Wengine tukisikia kilio tunajua kisu kimegonga mfupa.
 
Utoe kibuti utegemee kuliliwa?
 
Dume linawaza kuliliwa hilo. Duu kazi kwelikweli, hiki kizazi chetu hiki kweli cha digitally
 
hujipendi, BAHILI (unasubiri uombwe) , mkorofi, lugha chafu, hauko romantic,hujiongezi kwa lolote
ENDELEA KUSUBIRI MELI airport utampata aliyekata tamaa kama wew[emoji83]
 
Mi naliliwa na watoto wazur wazur tu adi najiuliza hii ni mkosi au
 
Matipwatipwa wengine tuna roho za chuma!!! [emoji23][emoji23][emoji23] ukitoa kibuti ndo kwanza tunanunua soda na kurelax
Nitakoma, hata mimi nimeshaanza kuwawaza wewe na akina Jovitha kwa mpigo!![emoji53][emoji53][emoji53]
 
Back
Top Bottom