Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni umuhimu wa kununua saa ya mkononi kwa maisha ya sasa ambapo hata mtoto mdogo ana uwezo wa kumiliki simu na hakuna simu iliyo kosa saa.
Saa ungeniambia wavae wanafunzi ambao shuleni hawaruhusiwi kwenda na simu sawa lakini unakuta mtu ana simu huku amevaa saa tena ya nini.
Siku hizi kuvaa saa naona ni ushamba na saa za mikononi siku hizi zimebaki kama fashion tu, mimi kwa mtazamo wangu naona ni ushamba na sipendi kuzitumia
Mara ya mwisho nanunua saa ya mkononi ilikuwa Tsh elfu 3000. By then ilikuwa saa kali tu.
Sasa siku hizi naona marafiki wananunua saa hadi za laki mbili.
Je, hizo saa za gharama huwa na nini cha ziada?
Ushamba kwa upande wangu ila ni fashion kwa watu wengine, kwa uelewa wako majibu yote yapigie mstari tu,Unasema zimebaki kama fashion hapo hapo unasema ni ushamba mbona hueleweki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Mkuu, mimi sasa hivi ni Mzee wa G-Shock.Rolex na G-Shock huwezi kupata kwa 3000 utuache na saa zetu!
Sikujua kama na wewe ni tabaka la waliojichokea kiuchumiKwa kweli na mimi mambo ya saa za laki 2 siyaelewagi[emoji23][emoji23]