Sijawahi kununua saa inayozidi Tsh elfu 3. Mnaonunua za laki mbili zinakuwa na nini cha zaidi?

Sijawahi kununua saa inayozidi Tsh elfu 3. Mnaonunua za laki mbili zinakuwa na nini cha zaidi?

Sioni umuhimu wa kununua saa ya mkononi kwa maisha ya sasa ambapo hata mtoto mdogo ana uwezo wa kumiliki simu na hakuna simu iliyo kosa saa.

Saa ungeniambia wavae wanafunzi ambao shuleni hawaruhusiwi kwenda na simu sawa lakini unakuta mtu ana simu huku amevaa saa tena ya nini.

Siku hizi kuvaa saa naona ni ushamba na saa za mikononi siku hizi zimebaki kama fashion tu, mimi kwa mtazamo wangu naona ni ushamba na sipendi kuzitumia.
Ushamba ni nini?
 
Nini kazi ya pesa?

Pesa ni vehicle inayowapa watu fursa kupata their needs and wants

Hapo kwenye wants (iwe prestige, uniqueness au feel good factor) kwahio watu wanalipa hio to feel good au to satisfy their wants (which is priceless)
 
Me mwenyewe nawashangaaga wanaonunua malaya kwa laki mbili wakati wapo wa buku buku, hivi hao wa laki mbili wana nini?
 
Humkuti Bill Gates wala Jeff Bozzes akiwa amevaa hizo Rolex
 
Hilo la saa tuliache tutali jadili baadae

Una maoni gani kwa watu wanaozikwa na majeneza ya gold au almas?
 
Huna kitu au kwa maneno mengine kapuku bin kapuku ndo maana unashangaa. 😀 😀
 
Watches is all about Quality, history and story behind it, The Rolex Pearlmaster costs 90,000 USD, its more than just a watch, its a heritage.love it
Na kwa kuongezea, symbol, status, power, prestige. Hivi mtu anamiliki V8 landcruicer na wewe uan Toyota Camry, unajifariji mpo sawa hapa mjini 😀😀😀
 
Ni jambo la kawaida kununua kitu cha gharama wakati cha bei rahisi unakipata. Ndiyo maana ukila ugali dagaa unashiba na ukila piza unashiba
Ni kweli ukisemacho. Ila kiuhalisia kila mmoja anatamani ale Pizza, lakini tatizo si kila mtu anaweza.
 
Hahahah..2019 nimejitahid kidogo nimenunua ya 15k.
Ahahahahahahahhahahah.

Nb.
Kipenda roho....
Mm sio mtu wa hiz mambo..fashion na blah blah zingine kama hizi,zina wenyewe.But am comfortabke this way
 
Back
Top Bottom