Sijawahi kuona CCM dhaifu na nyepesi kama ya awamu hii si katika kufikiri, kutatua na kujibu hoja. Sekretariati mbovu na dhaifu

Sijawahi kuona CCM dhaifu na nyepesi kama ya awamu hii si katika kufikiri, kutatua na kujibu hoja. Sekretariati mbovu na dhaifu

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam JF,

Hila sakata la Bandari limeletwa kwa kusudi la Mungu. CCM dhaifu sana awamu hii, sekretariati imejaa wasio na uwezo wa kufikiri, kutatua wala kujibu hoja kwa data na facts.

Mihadhara yao ni kama uzurulaji wa nyuki. Awamu hii tutaona CCM utopolo toka tupate uhuru.

Sekretariati imejaa watu ambao hawana mvuto wala makeke na haina akina chimakeke kwenye majukwaa haina machachari wa facts na data.

CCM itaangukia mikononi mwa Wazanzibar.

Tutaendelea kusema mpaka mjivue gamba kwa awamu ingine.

Ni hayo tu

Wadiz ndio mimi
 
Wasalaam JF,

Hila sakata la Bandari limeletwa kwa kusudi la Mungu. CCM dhaifu sana awamu hii, sekretariati imejaa wasio na uwezo wa kufikiri, kutatua wala kujibu hoja kwa data na facts.

Mihadhara yao ni kama uzurulaji wa nyuki. Awamu hii tutaona CCM utopolo toka tupate uhuru.

Sekretariati imejaa watu ambao hawana mvuto wala makeke na haina akina chimakeke kwenye majukwaa haina machachari wa facts na data.

CCM itaangukia mikononi mwa Wazanzibar.

Tutaendelea kusema mpaka mjivue gamba kwa awamu ingine.

Ni hayo tu

Wadiz ndio mimi
Kama ni hili la Bandari ndo kipimo chako basi tatizo siyo sekretsrieti. Tatizo ni Chama chote kilivyoamua kuvaa Jambo ambalo wameingia wakijua Wananchi hawalitaki na wakakubaliana kushupaza shingo.
Hata CCM ilipokuwa dhaifu mikononi mwa Kikwete na baadaye Magufuli aliyeanzisha utaratibu wa kusomba watu kwenda kwenye mikutano ya hadhara, haijawahi kutokea watu wakasombwa Njombe na Rukwa kupelekwa Mbeya. Hii imevunja rekodi ya ujinga.
 
Wasalaam JF,

Hila sakata la Bandari limeletwa kwa kusudi la Mungu. CCM dhaifu sana awamu hii, sekretariati imejaa wasio na uwezo wa kufikiri, kutatua wala kujibu hoja kwa data na facts.

Mihadhara yao ni kama uzurulaji wa nyuki. Awamu hii tutaona CCM utopolo toka tupate uhuru.

Sekretariati imejaa watu ambao hawana mvuto wala makeke na haina akina chimakeke kwenye majukwaa haina machachari wa facts na data.

CCM itaangukia mikononi mwa Wazanzibar.

Tutaendelea kusema mpaka mjivue gamba kwa awamu ingine.

Ni hayo tu

Wadiz ndio mimi
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako. Huzielewi siasa za Kitanzania wewe.

Usione mtu katupiwa chambo kisha kimeza na sasa anaendelea kumeza na chubwi na mashipi ukamuona mvuvi ni mjinga, mjinga ni anaeendelea kuumeza mshipi.
 
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako. Huzielewi siasa za Kitanzania wewe.

Usione mtu katupiwa chambo kisha kimeza na sasa anaendelea kumeza na chubwi na mashipi ukamuona mvuvi ni mjinga, mjinga ni anaeendelea kuumeza mshipi.
Wewe mzanzibar sasa ndiyo umeandika nini?
 
Ni chama kikongwe, ccm imepoteza dira, imekuwa ya hovyo sana
 
CCM ilizaliwa Zanzibar, litakuwa jambo jema ikifia mikononi mwa mzanzibar
 
Ficha upumbavu wako usifiche hekima zako. Huzielewi siasa za Kitanzania wewe.

Usione mtu katupiwa chambo kisha kimeza na sasa anaendelea kumeza na chubwi na mashipi ukamuona mvuvi ni mjinga, mjinga ni anaeendelea kuumeza mshipi.
Umeongea undondocha mwingi, CCM ya awamu hii ni dhaifu na hamna kitu naamini umeyasikia ya chato jana ndio upate picha CCM ya awamu hii hovyo sana
 
Kama ni hili la Bandari ndo kipimo chako basi tatizo siyo sekretsrieti. Tatizo ni Chama chote kilivyoamua kuvaa Jambo ambalo wameingia wakijua Wananchi hawalitaki na wakakubaliana kushupaza shingo.
Hata CCM ilipokuwa dhaifu mikononi mwa Kikwete na baadaye Magufuli aliyeanzisha utaratibu wa kusomba watu kwenda kwenye mikutano ya hadhara, haijawahi kutokea watu wakasombwa Njombe na Rukwa kupelekwa Mbeya. Hii imevunja rekodi ya ujinga.
Ni CCM dhaifu sana awamu hii chama hakina mvuto hata kwa wana CCM wenyewe
 
Back
Top Bottom