Sijawahi kuona Mchekeshaji wa kike

Sijawahi kuona Mchekeshaji wa kike

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Salamu,

Hiki kipaji inaonekana Mungu hajawapa hawa akina Hawa, naona labda kwa wenzetu wazungu. Hata kwa wazungu sijaona, hapa bongo nawaona tu kina joti na wenzake kina mpoki na Masanja.

Hebu wamama jitokezeni kidogo tuwaone kwenye hii fani ya kuongeza siku. Naona comredi Joti ameamua kuchukua nafasi yenu na anafanya vizuri na anapiga pesa ninyi mmekaa tu mnamtolea macho, joti anapiga hela.

Inawezekana labda ni fani ngumu sana kwenu jaribuni hata kidogo basi.
 
Kuna muigizaji mmoja wa filamu anti Ezekiel aliwahi igiza muvi moja nzuri akiwa na msanii wa kiume jina nimemsahau kidogo,muvi ilikuwa ya kichekesha mwanzo mwisho Kuna sehemu alikwaruzana na mme wake akachukua bajaji aliitoa nduki mpaka nikashangaa kwa Nini huyu dada asikikuze hiki kipaji.
 
Kuna muigizaji mmoja wa filamu anti Ezekiel aliwahi igiza muvi moja nzuri akiwa na msanii wa kiume jina nimemsahau kidogo,muvi ilikuwa ya kichekesha mwanzo mwisho Kuna sehemu alikwaruzana na mme wake akachukua bajaji aliitoa nduki mpaka nikashangaa kwa Nini huyu dada asikikuze hiki kipaji.

Sio ile aliyoigiza na Mboto?
 
Kuna yule mmoja alikuwa chale chale hiviii kipindi cha nyuma akajaga kuumwa alikuwa anaigiza na kiwewee, akiitwa nani sijui? Alikuwa yupo vizuri sanaa. 😀
 
Kuna yule mmoja alikuwa chale chale hiviii kipindi cha nyuma akajaga kuumwa alikuwa anaigiza na kiwewee, akiitwa nani sijui? Alikuwa yupo vizuri sanaa. [emoji3]

Matumaini[emoji1787][emoji1787]
 
Salamu,

Hiki kipaji inaonekana Mungu hajawapa hawa akina Hawa, naona labda kwa wenzetu wazungu. Hata kwa wazungu sijaona, hapa bongo nawaona tu kina joti na wenzake kina mpoki na Masanja.

Hebu wamama jitokezeni kidogo tuwaone kwenye hii fani ya kuongeza siku. Naona comredi Joti ameamua kuchukua nafasi yenu na anafanya vizuri na anapiga pesa ninyi mmekaa tu mnamtolea macho, joti anapiga hela.

Inawezekana labda ni fani ngumu sana kwenu jaribuni hata kidogo basi.
Sasa hao kina joti na masanja,kina hakika si ndo wanawake wenyewe 🤣🤣🤣
 
Mwanadamu aloumbwa na Mungu ni mmoja tu Adam,halafu Mungu akazalisha copy ya adamu ili aendeleze kizazi,note that Kama ulikuwa hujui hilo🤣so ni adamu anajizaa,kaberecteated akawa mwanamke/Hawa.
50/50 na wanwake ndo wengi dunia ila utashangaa kila kona wapo wachache watu maarufu wachache , matajiri, wanamichezo, vipaji .

Ni kwamba Mungu kawapa kipawa wanaume kutawala dunia japo wapo wachache kiidadi
 
Kuna muigizaji mmoja wa filamu anti Ezekiel aliwahi igiza muvi moja nzuri akiwa na msanii wa kiume jina nimemsahau kidogo,muvi ilikuwa ya kichekesha mwanzo mwisho Kuna sehemu alikwaruzana na mme wake akachukua bajaji aliitoa nduki mpaka nikashangaa kwa Nini huyu dada asikikuze hiki kipaji.
Alikua na Mboto walikua wafanyakazi wa ndani "beki tatu" kama sio hii basi na hii ni bonge ta comedy flani hivi [emoji119]
 
Salamu,

Hiki kipaji inaonekana Mungu hajawapa hawa akina Hawa, naona labda kwa wenzetu wazungu. Hata kwa wazungu sijaona, hapa bongo nawaona tu kina joti na wenzake kina mpoki na Masanja.

Hebu wamama jitokezeni kidogo tuwaone kwenye hii fani ya kuongeza siku. Naona comredi Joti ameamua kuchukua nafasi yenu na anafanya vizuri na anapiga pesa ninyi mmekaa tu mnamtolea macho, joti anapiga hela.

Inawezekana labda ni fani ngumu sana kwenu jaribuni hata kidogo basi.
Wapo wengi tu sema hufuatilii Comedy at all
 
Yan umekurupuka na hangover kuanzisha thread ya ajabu ajabu tu.Ebitoke,Kansime huwajui ww
Kupunguza stress kidogo ndugu maana kule kwenye forum kubwa kubwa Kuna habari za upigaji tu wiki hi hadi unaona hasira
 
Back
Top Bottom