Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
[emoji28] Yeees “kiwewee na matumaini” hii duo ilikuwa ya nzurii sanaa, aliendaga wapi yule dada, nasikia aliumwa sanaa.
Sijui hata alipotelea wapi, yeah! Nilisikia pia kuumwa kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28] Yeees “kiwewee na matumaini” hii duo ilikuwa ya nzurii sanaa, aliendaga wapi yule dada, nasikia aliumwa sanaa.
Matumaini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna yule mmoja alikuwa chale chale hiviii kipindi cha nyuma akajaga kuumwa alikuwa anaigiza na kiwewee, akiitwa nani sijui? Alikuwa yupo vizuri sanaa. [emoji3]
Mboto hakua serious uyu jamaa,aliachia ushuuzi sebuleni akajua anamfanyia surprise mke wake,kufumbia macho na mama mkwe yupo sebuleni,ilikua aibu kaliSio ile aliyoigiza na Mboto?
Yupoo kwake Malamba mawili, tena yuko vizuri tyuuh, ni mzima na kanenepaa[emoji28] Yeees “kiwewee na matumaini” hii duo ilikuwa ya nzurii sanaa, aliendaga wapi yule dada, nasikia aliumwa sanaa.
Kwenye vichekesho vya akina Martin walikuwepo akina Queen Latifa. Wanawake huwa wapo kwenye vichekesho vya makundiSalamu,
Hiki kipaji inaonekana Mungu hajawapa hawa akina Hawa, naona labda kwa wenzetu wazungu. Hata kwa wazungu sijaona, hapa bongo nawaona tu kina joti na wenzake kina mpoki na Masanja.
Hebu wamama jitokezeni kidogo tuwaone kwenye hii fani ya kuongeza siku. Naona comredi Joti ameamua kuchukua nafasi yenu na anafanya vizuri na anapiga pesa ninyi mmekaa tu mnamtolea macho, joti anapiga hela.
Inawezekana labda ni fani ngumu sana kwenu jaribuni hata kidogo basi.
Sema alijitahidi sanaa on her era.Wanapoteaga ghagla.
Aisee kuisha kupo bwanaSijui hata alipotelea wapi, yeah! Nilisikia pia kuumwa kwake.
Eeeh matumaini, nilikuwa namuelewa sana vile akijifanya chale chale kama zimeruka hivii 😂Matumaini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee Mungu ni mwema, amejiinua kidogo??Yupoo kwake Malamba mawili, tena yuko vizuri tyuuh, ni mzima na kanenepaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio habaa yuko vizuri, ila kwa usanii sijui km atarudi tenaa.Aisee Mungu ni mwema, amejiinua kidogo??
Kama kajiweka njema sio mbayaa, kwa sanaa ya sasa hatoiweza, astick na mambo mengine tu now.Sio habaa yuko vizuri, ila kwa usanii sijui km atarudi tenaa.
Umeongea deep sana.!!Mwanadamu aloumbwa na Mungu ni mmoja tu Adam,halafu Mungu akazalisha copy ya adamu ili aendeleze kizazi,note that Kama ulikuwa hujui hilo🤣so ni adamu anajizaa,kaberecteated akawa mwanamke/Hawa.
Mama mkwe alibaki kanuna tu.🙆🙆Mboto hakua serious uyu jamaa,aliachia ushuuzi sebuleni akajua anamfanyia surprise mke wake,kufumbia macho na mama mkwe yupo sebuleni,ilikua aibu kali
Sasa kafeli wapi!!?Yupoo kwake Malamba mawili, tena yuko vizuri tyuuh, ni mzima na kanenepaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa umri.Na Bi. Kiroboto je?, japo sifahamu alipopotelea kwa sasa.
Kuna wengine huwa wanaamua kusepa fani mambo ya mitishamba nayo huwa yayanahusika..Kama kajiweka njema sio mbayaa, kwa sanaa ya sasa hatoiweza, astick na mambo mengine tu now.
😅 bongo nyosooKuna wengine huwa wanaamua kusepa fani mambo ya mitishamba nayo huwa yayanahusika..