Sijawahi kuona Mchekeshaji wa kike

Sijawahi kuona Mchekeshaji wa kike

[emoji28] Yeees “kiwewee na matumaini” hii duo ilikuwa ya nzurii sanaa, aliendaga wapi yule dada, nasikia aliumwa sanaa.

Sijui hata alipotelea wapi, yeah! Nilisikia pia kuumwa kwake.
 
Salamu,

Hiki kipaji inaonekana Mungu hajawapa hawa akina Hawa, naona labda kwa wenzetu wazungu. Hata kwa wazungu sijaona, hapa bongo nawaona tu kina joti na wenzake kina mpoki na Masanja.

Hebu wamama jitokezeni kidogo tuwaone kwenye hii fani ya kuongeza siku. Naona comredi Joti ameamua kuchukua nafasi yenu na anafanya vizuri na anapiga pesa ninyi mmekaa tu mnamtolea macho, joti anapiga hela.

Inawezekana labda ni fani ngumu sana kwenu jaribuni hata kidogo basi.
Kwenye vichekesho vya akina Martin walikuwepo akina Queen Latifa. Wanawake huwa wapo kwenye vichekesho vya makundi
 
Mwanadamu aloumbwa na Mungu ni mmoja tu Adam,halafu Mungu akazalisha copy ya adamu ili aendeleze kizazi,note that Kama ulikuwa hujui hilo🤣so ni adamu anajizaa,kaberecteated akawa mwanamke/Hawa.
Umeongea deep sana.!!
 
Mboto hakua serious uyu jamaa,aliachia ushuuzi sebuleni akajua anamfanyia surprise mke wake,kufumbia macho na mama mkwe yupo sebuleni,ilikua aibu kali
Mama mkwe alibaki kanuna tu.🙆🙆
 
Kama kajiweka njema sio mbayaa, kwa sanaa ya sasa hatoiweza, astick na mambo mengine tu now.
Kuna wengine huwa wanaamua kusepa fani mambo ya mitishamba nayo huwa yayanahusika..
 
Back
Top Bottom