Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we aliposema wapo wachache si ndo hao au skull ulikuwa unacheki chuchu konzi tuYan umekurupuka na hangover kuanzisha thread ya ajabu ajabu tu.Ebitoke,Kansime huwajui ww
Ni mke wa kiwewe[emoji28] Yeees “kiwewee na matumaini” hii duo ilikuwa ya nzurii sanaa, aliendaga wapi yule dada, nasikia aliumwa sanaa.
Mboto hakua serious uyu jamaa,aliachia ushuuzi sebuleni akajua anamfanyia surprise mke wake,kufumbia macho na mama mkwe yupo sebuleni,ilikua aibu kali
Kuna sehemu ilifikia wakawa hawaongei ni mwendo wa kuandikiana vimeseji tu sijui ilitokea balaa gani badae nimesahau🙆Mboto hakua serious uyu jamaa,aliachia ushuuzi sebuleni akajua anamfanyia surprise mke wake,kufumbia macho na mama mkwe yupo sebuleni,ilikua aibu kali
Nimeiona hiyo.Angalia KiTim Tim...
Walifunga ndoa??Ni mke wa kiwewe
MatumainiKuna yule mmoja alikuwa chale chale hiviii kipindi cha nyuma akajaga kuumwa alikuwa anaigiza na kiwewee, akiitwa nani sijui? Alikuwa yupo vizuri sanaa. [emoji3]
Kwa kweli.Kama kajiweka njema sio mbayaa, kwa sanaa ya sasa hatoiweza, astick na mambo mengine tu now.
Usanii sijui km atafanyaa tenaa.Sasa kafeli wapi!!?
Wasanii wachache sana waliofanikiwa kutoka kimaisha hi fani ngumu sana.Usanii sijui km atafanyaa tenaa.
Namsikia tu huyu .unamjua kansiime?
Kuna bwana mmoja mtatala ktk hii filamu ya kitimtim alipambana na mzee Jangala sijui anaitwa nani yule ni bonge hivi bwana we Vita yake ilikuwa kubwa mbona.Pili wa kitimtim, pia katika watu baki kuna mdada pia
Matumaini uyo itakua ni kakake mkubwaKuna yule mmoja alikuwa chale chale hiviii kipindi cha nyuma akajaga kuumwa alikuwa anaigiza na kiwewee, akiitwa nani sijui? Alikuwa yupo vizuri sanaa. [emoji3]