Sijawahi kuona Mtangazaji mwenye Miguu mizuri na iliyopangika vyema Kiurembo kama Jackline Silemu wa ITV. Hongera zake!

Sijawahi kuona Mtangazaji mwenye Miguu mizuri na iliyopangika vyema Kiurembo kama Jackline Silemu wa ITV. Hongera zake!

Una matatizo makubwa ya macho, i can call that "CATARACTS" Personally sijaona mguu wa kusifiwa kiasi cha kuanzisha uzi humu labda kama we ni mpenzi wa miguu kama miwa au mpini wa jembe.
You can tell it from this picture here kwamba mguu upoje.
Screenshot_2019-01-09-09-56-20.png
 
Aione
-mkurugenzi wa kituo cha Habari ITV
-mkurugenzi wa makampuni ya IPP & MEDIA
 
Katika watu wanaoandika pumba wewe unaongoza,utakuta Ni jitu zima lina watoto,ila kutwa kukesha kuandika upuuzi jf

Sent using Jamii Forums mobile app

Cha kusikitisha zaidi na kuonyesha kwamba ' Shahawa ' za Baba yako zilizomuingia Mama yako hadi ukapatikana Wewe na Kuzaliwa hivi zilikuwa na ' Funza ' wengi na ' Makohozi ' mengi bado unaendelea Kumfuatilia huyo huyo Muandika ' Pumba ' hapa Jamvini. Ninapoanzisha ' Threads ' hapa JF huwa nawalazimisheni muwe mnazifungua na kuzisoma? Mnanichukia halafu hapo hapo bado mnanifuatilia na kunisoma hivi nikiwaiteni nyie ni ' Mafulu Ngenge ' wakubwa nitakuwa nakosea? Hii ni ' Dozi ' yangu ya awali Kwako nasubiri urudi tena nimalize Kazi rasmi.
 
Kodolea ITV ' Mubashara ' sasa hivi au vizia tu Siku zingine akiwa ndiyo Msoma taarifa ya Habari ITV kisha kabla hajakaa pale Kitini angalia Miguu yake iliyo mizuri sana na inavutia tofauti na Wanawake wengine wote pale ITV na hata huku Uraiani tulipo.
Pongezi wapewe akina wazaa chema siyo yeye. Yeye ni product.
 
Huu Mtindo uliobuniwa na Kituo cha Runinga cha ITV cha Kuwaonyesha Watangazaji Wao ( wale Wasoma Taarifa za Habari ) mwili mzima umetufanya Sisi Watazamaji Wao ' tukuka ' tuweze kuona jinsi Mwenyezi Mungu alivyopatia Kuwaumba.

Ila hadi hivi sasa kama kuna Mtangazaji mwenye Miguu mizuri nadhani Kushinda Watangazaji wote wa Habari ITV ni huyu Jackline Silemu ambaye kwakweli ana Miguu siyo ya nchi hii na ni mizuri hadi nashindwa hata kuzidi Kuizungumzia.

Hongera zake sana na mno!

Nawasilisha.

Mkuu naona unataka kuingilia mchepuko wangu wa siku nyingi. Tusije paruana buree
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787],hapa ndo unathibisha kwamba network hazishiki,upo darasa la ngapi??? Kama wewe una miaka 20+ aisee mzazi wako amekula hasara Bora angezaa shoga au angetumia condom shahawa akazitupe chooni, you're very Foolish

Sent using Jamii Forums mobile app

Ninachojua tu na nina uhakika nacho ni kwamba ' Sindano ' yangu ya ' Dozi ' niliyokupa imeshakuingia tena kisawasawa kabisa. Siku zingine uwe unakuwa makini na hii ' ID ' au ukae nayo mbali kwani yenyewe huwa haiwacheleweshi ' Wapumbavu ' kama Wewe na nitawanyoosheni hadi mnyoosheke.
 
Huwa tunaanza na uso kwanza. Ukoje uso wake?
 
Weka picha nione kama kanizidi mm😁😁😁😁😁😁😁
 
Una sifiasifia tu. Suzan Mongi anaongoza
 
Huu Mtindo uliobuniwa na Kituo cha Runinga cha ITV cha Kuwaonyesha Watangazaji Wao ( wale Wasoma Taarifa za Habari ) mwili mzima umetufanya Sisi Watazamaji Wao ' tukuka ' tuweze kuona jinsi Mwenyezi Mungu alivyopatia Kuwaumba.

Ila hadi hivi sasa kama kuna Mtangazaji mwenye Miguu mizuri nadhani Kushinda Watangazaji wote wa Habari ITV ni huyu Jackline Silemu ambaye kwakweli ana Miguu siyo ya nchi hii na ni mizuri hadi nashindwa hata kuzidi Kuizungumzia.

Hongera zake sana na mno!

Nawasilisha.
Evidence please!
 
Back
Top Bottom