Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Ni Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta ushahidi kanisa au msikiti gani hayo maombi yamefanyikaNi Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...
Siku hizi kuomba Mungu ni ujuha? Au baada ya maombi wameambiwa waende wakakae tu magoli yataingia yenyewe?Ni Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...
mbn ya covid alitusaidia japo ulikua hatufanyi biddi yoyote ta kujikinga.............liko wengine kwa kiasi gani?
Ingekuwa maombi ya msaada wa kutambua njia sahihi nini tufanye labda.
we muongo, mungu amlinde dhidi ya nini?Kuna mfalme mmoja hapo zamani za kale katika himaya fulani, kila mara alikuwa anasisitiza wananchi wamuombee Mungu amlinde.
Hakumaliza miaka 10 akafa!!
Hujui kitu, fatilia habari ndio uje hapa tubishaneLeta ushahidi kanisa au msikiti gani hayo maombi yamefanyika
Itoshe kusema kuwa wewe ni zumbukukukuna watu wanafny miujiza kila kukicha huko makanisani, TFF ipeleke timu huko ikapokee muujiza wake wa kwenda qatar
TaahiraSiku hizi kuomba Mungu ni ujuha? Au baada ya maombi wameambiwa waende wakakae tu magoli yataingia yenyewe?
uyo mfalme aliitwa nani?Kuna mfalme mmoja hapo zamani za kale katika himaya fulani, kila mara alikuwa anasisitiza wananchi wamuombee Mungu amlinde.
Hakumaliza miaka 10 akafa!!
Muongo nani, mimi au huyo mfalme?we muongo, mungu amlinde dhidi ya nini?
hahaha huamini ktk miujiza wwItoshe kusema kuwa wewe ni zumbukuku
ww apo mkuu,Muongo nani, mimi au huyo mfalme?
Sasa hujawahi vipi sasa wakati umesema taifa stars imeombewa?Ni Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...