wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Ila corona iliombewa mkuu na tukaishinda.
Hata hili litawezekana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata hili litawezekana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu na ndiyo maana Watanzania tunadharauliwa sana na Majirani zetu na mno na Wazingu mpaka Waeshia.Ni Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...
Kama shilingi ngapi mkuu,Dr Abbas afanye mambo?Mimi mganga. Uwezo wa kuipeleleka timu Doha ninao. Ila nahitaji mpunga mrefu kidogo.
Kwa sababu hujawahi ona haina maana kuwa hakuna.Ni Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...
Algeria timu yao nzima waliswali hapo uwanjani kwa mkapa walivyokuja kucheza na Taifa stars....wabongo ni mambumbumbu huwezi kuchukia kile ulichokadiriwa na Mungu....kama ulikuwa mdau wa soka toka kitambo kuna mabadiliko makubwa sana ya soka hapa nchi watu wanalia uwekezaji kuanzia academy na level zote...kwa mimi naona uwekezaji watu wanafanya japo sio kama wenzetu waliotutangulia hao wanaoilinganisha na Tanzania....leo tuna vijana wanacheza nje ligi za kueleweka zamani unasikia mchezaji ameenda Oman au Quwait tulikuwa na wachezaji wanacheza ligi za kujitolea nje huko,Taifa stars ilikuwa haiwezi kupiga pasi tatu bila kupoteza...wachezaji walikuwa wanatetemeka wakiwa na mpira...hiyo ni kabla ya Maximo baada ya yule mbrazil timu ya taifa imebadilika sana na soka letu limepiga hatua sasa watu wanabeza nini sijui naona ni upumbavu au ni watoto wa juzi hapo ndio wanaleta ujuaji.Kwa sababu hujawahi ona haina maana kuwa hakuna.
Hujawahi ona wachezaji wanasali kabla ya mechi?
Ni Tanzania pekee timu inafanyiwa maombi ili ifuzu World Cup, sijawahi ina na haingii akilini!! TFF achaneni na huo ujuha mtakuja kujuta...
Hili neno sio geni, zumbukuku alikua na muonekano gani?Itoshe kusema kuwa wewe ni zumbukuku
Hawezi leta mana amekaririshwa.Leta ushahidi kanisa au msikiti gani hayo maombi yamefanyika