Sijawahi kupigiwa simu na mwanamke wangu zaidi ya kutumiwa txt tuu

Sijawahi kupigiwa simu na mwanamke wangu zaidi ya kutumiwa txt tuu

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,603
Reaction score
7,501
Ndugu wana jf poleni na majukumu

Kwà kweli simuelewi mpenzi wàngu kabisa. Tokea niwe nae hajawahi kunipigia simu zaidi tuu yà kunitumia meseji basi japo mimi na mpigia simu na kumuungia vifurushi vyenye txt na dk ila hanipigii simu

Ndugu sielewi huyu mwanamke shida ni nini ila kwenye txt yupo romantic sana na nikijitosa kumpigia simu anakua siyo muongeaji bali anakuwa ni kuitika tuu.


Wakuu simuelewi kabisa kabisa shida itakua ni nini hapa

Kwanini hanipigii simu yeye kazi yake ni kuchati tuu, yote ananiambia kwa kuchati nikimpigia simu haongei anakua msikilizaji na kazi yake ni kuitika tuu mpaka na boreka sana yani nikimpigia hatumalizi dk 2 maongezi yameisha maana ukijifanya unaongea utageuka kuwa kiredio cz utasikilizwa tuu na kuitikiwa.
 
Ndugu wana jf poleni na majukumu

Kwà kweli simuelewi mpenzi wàngu kabisa. Tokea niwe nae hajawahi kunipigia simu zaidi tuu yà kunitumia meseji basi japo mimi na mpigia simu na kumuungia vifurushi vyenye txt na dk ila hanipigii simu

Ndugu sielewi huyu mwanamke shida ni nini ila kwenye txt yupo romantic sana na nikijitosa kumpigia simu anakua siyo muongeaji bali anakuwa ni kuitika tuu.


Wakuu simuelewi kabisa kabisa shida itakua ni nini hapa

Kwanini hanipigii simu yeye kazi yake ni kuchati tuu, yote ananiambia kwa kuchati nikimpigia simu haongei anakua msikilizaji na kazi yake ni kuitika tuu mpaka na boreka sana yani nikimpigia hatumalizi dk 2 maongezi yameisha maana ukijifanya unaongea utageuka kuwa kiredio cz utasikilizwa tuu na kuitikiwa.
Si yeye tu. Tupo wengi, mambo ya kuzungumza ni changamoto. I prefer chatting over talking. I feel so comfortable and convenient.

Jitahidi tu kumuelewa.
 
Ndugu wana jf poleni na majukumu

Kwà kweli simuelewi mpenzi wàngu kabisa. Tokea niwe nae hajawahi kunipigia simu zaidi tuu yà kunitumia meseji basi japo mimi na mpigia simu na kumuungia vifurushi vyenye txt na dk ila hanipigii simu

Ndugu sielewi huyu mwanamke shida ni nini ila kwenye txt yupo romantic sana na nikijitosa kumpigia simu anakua siyo muongeaji bali anakuwa ni kuitika tuu.


Wakuu simuelewi kabisa kabisa shida itakua ni nini hapa

Kwanini hanipigii simu yeye kazi yake ni kuchati tuu, yote ananiambia kwa kuchati nikimpigia simu haongei anakua msikilizaji na kazi yake ni kuitika tuu mpaka na boreka sana yani nikimpigia hatumalizi dk 2 maongezi yameisha maana ukijifanya unaongea utageuka kuwa kiredio cz utasikilizwa tuu na kuitikiwa.
Evaluate hiyo relation unapotezewa muda
 
Binafsi sipendi kuongea na simu na hata kutumia sms sio sana.

Nimeshindwa kuelewana na wengi kwa jinsi nilivyo.

Na kwa hakika sipendi kabisa mtu anae ongea ongea bila hata sababu ya msingi.

Mtu kama wewe simu zako nisingekuwa napokea kabisa unaonekana unapenda kuongea ongea hovyo.
 
Unapaswa kujua confidence levels za mazungumzo. Confidence hupanda kwa mtiririko huu
Live➡️video call➡️voice call➡️sms

Punguza kulialia, ndio vid vyetu vya kisasa, vinachati na viswaswa hata na watu 10 at a moment
 
mpenzi wako wewe sim yake yeye, sasa hakupigii s umpigie umuulize kwa nn yeye hua hakupigii? ulishaona hakupigii kikakuwasha nn kumuunga kifurushi chenye dakika kama sio wazimu? anaongea na mume mwenzio anayemuweka mjini.
 
Ndugu wana jf poleni na majukumu

Kwà kweli simuelewi mpenzi wàngu kabisa. Tokea niwe nae hajawahi kunipigia simu zaidi tuu yà kunitumia meseji basi japo mimi na mpigia simu na kumuungia vifurushi vyenye txt na dk ila hanipigii simu

Ndugu sielewi huyu mwanamke shida ni nini ila kwenye txt yupo romantic sana na nikijitosa kumpigia simu anakua siyo muongeaji bali anakuwa ni kuitika tuu.


Wakuu simuelewi kabisa kabisa shida itakua ni nini hapa

Kwanini hanipigii simu yeye kazi yake ni kuchati tuu, yote ananiambia kwa kuchati nikimpigia simu haongei anakua msikilizaji na kazi yake ni kuitika tuu mpaka na boreka sana yani nikimpigia hatumalizi dk 2 maongezi yameisha maana ukijifanya unaongea utageuka kuwa kiredio cz utasikilizwa tuu na kuitikiwa.
Futa namba yake...
 
Ndugu wana jf poleni na majukumu

Kwà kweli simuelewi mpenzi wàngu kabisa. Tokea niwe nae hajawahi kunipigia simu zaidi tuu yà kunitumia meseji basi japo mimi na mpigia simu na kumuungia vifurushi vyenye txt na dk ila hanipigii simu

Ndugu sielewi huyu mwanamke shida ni nini ila kwenye txt yupo romantic sana na nikijitosa kumpigia simu anakua siyo muongeaji bali anakuwa ni kuitika tuu.


Wakuu simuelewi kabisa kabisa shida itakua ni nini hapa

Kwanini hanipigii simu yeye kazi yake ni kuchati tuu, yote ananiambia kwa kuchati nikimpigia simu haongei anakua msikilizaji na kazi yake ni kuitika tuu mpaka na boreka sana yani nikimpigia hatumalizi dk 2 maongezi yameisha maana ukijifanya unaongea utageuka kuwa kiredio cz utasikilizwa tuu na kuitikiwa.
Jiongeze ww unaunga dk na upigiwi 🤣🤣bado unasema mpenzi wako sema mpenzi wenu 😹😹😹
 
Sasa awe anaongea sana yeye ni customer care? Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo yeye ni customer care kwasababu mimi ni mteja wa bidhaa yake ili apate kuishi nadhani wanawake mmeelewa
 
Kwani kazi za mpenzi ni zipi? Zina uhusiano gani na maneno mengi?
 
Atakuwa hana maozea ya kupigiana simu au hayupo comfortable kuongea na wewe sababu sio tabia yake. Ongea nae taratibu muelekeze unavyojiskia pengine atajali na atajiadjust kuendana na namna unapenda.

Usichukulie hakupendi au yeye ni changamoto kwako.
 
Nipe mim namba zake
mim ndio napenda dem wa hivo
tena nataka na asiwe anapenda kuchat tuwe tunatafutana kwenye jambo la msingi tu na game bas
 
Back
Top Bottom