Sijawahi kusikia mtu akisema Kibu Denis snajua mpira,bali husema anajituma sana

Sijawahi kusikia mtu akisema Kibu Denis snajua mpira,bali husema anajituma sana

Kwa nyie Waja ni Kipi mnakitaka...?

Mtu akiwa na Kipaji, mnamtafutia angle nyingine mfano Chama akisifiwa mnahama oooh hajitumi.!

Haya huyu hapa Mwamba mapafu ya Mbwa Kibu D anajituma, mnahamisha goli sasa hana Kipaji..!

Kwani ni nini mnataka? Kweli Waja ni Wazito hawabebeki.!
 
Kwa soka la kisasa kibu hafai
Hana impact ktk mipira ya mwisho
 
Kibu anajituma hana kipaji cha mtu kama fei toto.
 
Watu ni Wabaya Sana, Kila Kocha aliyekatiza Simba hakuna aliyethubutu kumpiga benchi kibu Pamoja na Mapungufu yake..! Na hakuna mchezaji asiye na mapungufu.

Anajitokeza Shabiki anasema Hana hadhi ya kucheza Simba...!

Sasa Simba ikijichanganya tu imuache utasikia Kasajiliwa kwao...!
 
Huyu mchezaji hana hadhi ya kucheza Simba
Ili uone umuhimu wa Kibu kuwa na watu wawili pale mbele, namba 10 mzuri na namba 9 mzuri. Kibu ni mchezaji mwenye nguvu ya kuukokota mpira na kufika nao nje kidogo ya 18 ila hajawa na ubunifu wa ni nini afanye akishafika hapo tatizo na watu wanaomzunguka hilo eneo ni saido na jobe.
 
Which One should be core or subsidiary
Jitihada ndio muhimu zaidi

Ushuhuda ni kijana wa mtaani, huyu alikuwa hajui boli danadana 10 mtihani, ila anaupenda mnoo mpira, saa 12 anaenda beach, mazoezi, anajifunza kuchezea mpira, mazyezi wenzie ni saa 10:30 ye saa 9 yupo uwanjani, watu walimbeza wakamcheka, ila sasa hivi ana maendeleo makubwa, ni beki panga pangua, kaishaenda hadi zenji kucheza, sijui ni daraja la ngapi.

Ujana wetu, kwenye mtaa wetu wengi tulikuwa na vipaji hatari, hakuna uwanja nilikanyaga nikaonekana sijui mpira, mvivu wa mazoezi, nacheza ninapojisikia.. nishakutana na kauli "we fundi sana, inaonekana huna mazoezi" kitu ambacho ni kweli.
Hatimae mpira umeisha kibudu. 😂
 
Bahati mbaya yupo Tanzania hana option ya kucheza michezo mingine tofauti na football angekua kwingine angecheza Rugby, wrestling, American football nk

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom