The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Ndugu wanabodi.
Kuna utitiri wa uuzaji wa viwanja vidogo sana kwa bei inayoanzia laki nane mpaka milions kadhaa.
Nikipiga hesabu futi 50 kwa 40 hapo utajenga nini. Au tunaenda kutengeneza vingunguti nyingine.
Ushauri wangu kama huna hela ambayo unaweza kupata robo au nusu heka.hapa mjini kwa ajili ya makazi bora hata hiyo hela ukanunue hekari moja huko mkoani utulie.
Nyumba ya makazi inatakiwa iwe pana na nafasi ya kutosha siyo kubanana hata pakutemea mate huna
Kumbuka makazi hayakuingizii faida yoyote. Sasa kiwanja.hakitakiwa kuwa expensive hivyo. Ila.kama unachukua hivyo viwanja kibiashara hapo sawa maana ni vidogo mno afu bei ni.kubwa sana.
Haya makampuni yanafanya biashara ili yakanunue maeneo makubwa zaidi.ili wakuja waje wapimiwe tena. Bora hata wewe ukaenda huko ndani ndani mkuranga ukajipatia.hata hekari moja aridhi ni mali .
Usisahau aridhi ya Tanzania ni mali ya JMT kwa hiyo hata kuuziana viwanja vya makazi kwa kukomoana ni wizi tu
Kuna utitiri wa uuzaji wa viwanja vidogo sana kwa bei inayoanzia laki nane mpaka milions kadhaa.
Nikipiga hesabu futi 50 kwa 40 hapo utajenga nini. Au tunaenda kutengeneza vingunguti nyingine.
Ushauri wangu kama huna hela ambayo unaweza kupata robo au nusu heka.hapa mjini kwa ajili ya makazi bora hata hiyo hela ukanunue hekari moja huko mkoani utulie.
Nyumba ya makazi inatakiwa iwe pana na nafasi ya kutosha siyo kubanana hata pakutemea mate huna
Kumbuka makazi hayakuingizii faida yoyote. Sasa kiwanja.hakitakiwa kuwa expensive hivyo. Ila.kama unachukua hivyo viwanja kibiashara hapo sawa maana ni vidogo mno afu bei ni.kubwa sana.
Haya makampuni yanafanya biashara ili yakanunue maeneo makubwa zaidi.ili wakuja waje wapimiwe tena. Bora hata wewe ukaenda huko ndani ndani mkuranga ukajipatia.hata hekari moja aridhi ni mali .
Usisahau aridhi ya Tanzania ni mali ya JMT kwa hiyo hata kuuziana viwanja vya makazi kwa kukomoana ni wizi tu