Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ikiwa 34 kwa 13 space inakuwa kubwaFoot 50 kwa foot 40 ni sawa na mita 17 kwa mita 13. Hiki ni kiwanja kidogo mno. Standard ni mita 20x20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa 34 kwa 13 space inakuwa kubwaFoot 50 kwa foot 40 ni sawa na mita 17 kwa mita 13. Hiki ni kiwanja kidogo mno. Standard ni mita 20x20
Parking ya nn kaka na sina ndoto ya kumiliki gariNyumba kubwa ya 3 bedroom ni 9×12 so inafit in sema hutakuwa na extra space. Ndio maana itakubidi aidha ununue viwili ili uwe na nafasi ya parking na mabanda uwani
Ila vikindu mkuu kumekaa kushoto sana wazaramo na wamakonde huko ukiaa vibaya tu ushachukua chumaNyumba kubwa ya 3 bedroom ni 9×12 so inafit in sema hutakuwa na extra space. Ndio maana itakubidi aidha ununue viwili ili uwe na nafasi ya parking na mabanda uwani
Jirani akiachia ushuzi unaanza kugombana na mwenza wako ukijua ni yeyeNchi hii ni ndogo sana kwa population iliyopo na ijayo. Mkitaka viwanja vikubwa kwa kila mtanzania, hata idadi iliyopo sasa hivi hatutapata wote. Ardhi siyo kwa kujenga nyumba pekee kuna matumizi mengine, tukubali hicho kidogo tugawane tusonge mbele.
Mkitaka makazi bora siyo ukubwa wa viwanja tu, kuna mpangilio wa majengo na ubora wa majengo yenyewe, na mahitaji mengine.
Tuache ujenzi holele, serikali itoe tender kwa kampuni za nje watujengee kwa mpangilio tununue. Lakini hii ya kila mtu anajijengea kivyake, hata ungejenga ghorofa Vingunguti, bado unakuwa wa vingunguti tu.
Kumbuka pia kuna vile vya 20 x 20 huku kwetu tunaita jirani mwema.
Umeanza sasa ukhanithi wakoHii nchi bado iko vizuri. Wananchi wengi bado wanaweza kununua viwanja
😁😁😁😁😁😁 Kule sina mpango wa kukaa ila ntapauza niongeze nguvu nichukue Bagamoyo Road au Morogoro roadIla vikindu mkuu kumekaa kushoto sana wazaramo na wamakonde huko ukiaa vibaya tu ushachukua chuma
Sio kabisa kule. Uza mkuu😁😁😁😁😁😁 Kule sina mpango wa kukaa ila ntapauza niongeze nguvu nichukue Bagamoyo Road au Morogoro road
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mm nina plan ya kujenga chumba na sebule tu kama hivi bas. Nitaki mita za skwea 2400 za nn? Yani mita 10 kwa 10 tu tukutane kariakoo mambo yasiwe mengi View attachment 3154809
Kuna ulazima wowote wa wewe kumtukana mchepuko wa mamako?Umeanza sasa ukhanithi wako
Wewe uwe mchepuko wa mama angu wakati tu kula yako inategemea reli za mtandaoni?Kuna ulazima wowote wa wewe kumtukana mchepuko wa mamako?
We jamaa umetembea kweli hii nchi? Ni ndogo kwa idadi yetu?Nchi hii ni ndogo sana kwa population iliyopo na ijayo. Mkitaka viwanja vikubwa kwa kila mtanzania, hata idadi iliyopo sasa hivi hatutapata wote
Kwa taarifa yako Dar mipango.mini ni ya bovyo.. ukitoa.baadhinl ya meneo machache. Miaka ijayo huko wanaponunua 15 x12 i majanga tupu hata sehemu yanm kumwaga.maji hupati.maana wengi wao ni wa vipatamo vya chinj na seriakli bado haijapitisha miundo mbinu yakeZingatia space standards za Serikali Kiwanja Kidogo ni 90 SQM.Hicho cha 50 Kwa 30 ni kama 150 SQM.Cha Mhimu kuwepo na Barabara Pana, miundombinu ya Maji Safi na majitaka na pia Umeme.Viwanja vya Karikaoo na Sinza vingi ni 288 Hadi 300 SQM na Watu wanaishi.Kumbuka Kariakoo ilipangwa na Mkoloni Mjerumani kisha Waingereza wakapita humo na baada ya Uhuru tunaendelea.Any way Wakati wa kupanga Miji kuna Viwanja Low density,medium density na high density.Waweza kujichagulia size yako kwa kadri ya uhitaji na uwezo wako.Zingatia size za viwanja zinatofautiana baina ya Nchi.Makazi ya Kawaida hata SQM 400 unaishi vizuri Tu,Nyumba,Maegesho,swimming ukiipenda,na bustani.