Sijawahi kuvielewa Viwanja vya futi 50 x40 kwa ajili ya makazi

Jirani akiachia ushuzi unaanza kugombana na mwenza wako ukijua ni yeye
 
Hii nchi bado iko vizuri. Wananchi wengi bado wanaweza kununua viwanja
 
Kama mm nina plan ya kujenga chumba na sebule tu kama hivi bas. Nitaki mita za skwea 2400 za nn? Yani mita 10 kwa 10 tu tukutane kariakoo mambo yasiwe mengi
 
Nchi hii ni ndogo sana kwa population iliyopo na ijayo. Mkitaka viwanja vikubwa kwa kila mtanzania, hata idadi iliyopo sasa hivi hatutapata wote
We jamaa umetembea kweli hii nchi? Ni ndogo kwa idadi yetu?
 
Kwa taarifa yako Dar mipango.mini ni ya bovyo.. ukitoa.baadhinl ya meneo machache. Miaka ijayo huko wanaponunua 15 x12 i majanga tupu hata sehemu yanm kumwaga.maji hupati.maana wengi wao ni wa vipatamo vya chinj na seriakli bado haijapitisha miundo mbinu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…