Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Alomtuma Wenje kumsumbua LISSU UmaTukisema Lissu ni Muongo muwe mnatuelewa. August tu alisema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti. Leo yumo.
View attachment 3186485
Mwambie aliyemtuma Wenje kugombea Uenyekiti, sababu tu LISSU kawachachafya kwenye kikao Kwa Hoja na shahidi Kisha R.I.P Mzee Kibao.Tukisema Lissu ni Muongo muwe mnatuelewa. August tu alisema hana ndoto ya kuwa mwenyekiti. Leo yumo.
View attachment 3186485
Huyo huyo ndo kamfanya Wakili Msomi LISSU the Genius , kuamua kuwafata huko huko juu juu