Sijawahi na sitakuja kukutana na kitu kitamu walahi kama kile katika maisha yangu yote yaliyobakia

Sijawahi na sitakuja kukutana na kitu kitamu walahi kama kile katika maisha yangu yote yaliyobakia

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Wakuu inafikirisha kidogo!
Naomba nitoe rai kwa mamlaka kuandaa mafunzo ya kutengeneza juisi bora kwa wajasiriamali wadogo wadogo mana mtaani huku wanautuua haki ya mungu.

Leo katika pitapita zangu tandika nikaona juisi ya miwa nikajikoki ya jero. Dah! ๐Ÿค”๐Ÿค” wakuu sijawhi kukutana na kitu kitamu kama hii juisi wallahi. Juisi tamu kuliko asali, kuliko sukari na kuliko utamu wa aina yoyote niliowahi kukutana nao nikiwa na AKILI zangu timamu

Yule jamaa nahisi katia sukari guru mule ndani kamix by asali na kaweka na sukari nyeupe. Doh wallahi sikufanikiwa kuimaliza na hapa nilipo nimepigwa na kichefchef kizito. Nahisi kukarahika kabisa kwa utamu uleee.. madokta nimeamua kuchabganya na kahawa kidogo mana nikiiacha hii peke yake ifike kwemye insulini leoleo napata kisukari wallahi
Cc. Madokta wote jf

Mamlaka zitutetee tu, haiwezekani juisi ya miwa inayot3ngeneza sukari itiwe sukari
20241229_143959.jpg
 
Wakuu inafikirisha kidogo!
Naomba nitoe rai kwa mamlaka kuandaa mafunzo ya kutengeneza juisi bora kwa wajasiriamali wadogo wadogo mana mtaani huku wanautuua haki ya mungu.

Leo katika pitapita zangu tandika nikaona juisi ya miwa nikajikoki ya jero. Dah! ๐Ÿค”๐Ÿค” wakuu sijawhi kukutana na kitu kitamu kama hii juisi wallahi. Juisi tamu kuliko asali, kuliko sukari na kuliko utamu wa aina yoyote niliowahi kukutana nao nikiwa na AKILI zangu timamu

Yule jamaa nahisi katia sukari guru mule ndani kamix by asali na kaweka na sukari nyeupe. Doh wallahi sikufanikiwa kuimaliza na hapa nilipo nimepigwa na kichefchef kizito. Nahisi kukarahika kabisa kwa utamu uleee.. madokta nimeamua kuchabganya na kahawa kidogo mana nikiiacha hii peke yake ifike kwemye insulini leoleo napata kisukari wallahi
Cc. Madokta wote jf

Mamlaka zitutetee tu, haiwezekani juisi ya miwa inayot3ngeneza sukari itiwe sukari
View attachment 3187708
Ulitumwa unywe au wewe na mapenzi yako kwenye juice tuliza wenge
 
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

awe Muslim
mweupe
19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
awe amelelewa kimaadili
awe tayari kuwa na watoto watatu
awe kabila lolote
awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
 
Wakuu inafikirisha kidogo!
Naomba nitoe rai kwa mamlaka kuandaa mafunzo ya kutengeneza juisi bora kwa wajasiriamali wadogo wadogo mana mtaani huku wanautuua haki ya mungu.

Leo katika pitapita zangu tandika nikaona juisi ya miwa nikajikoki ya jero. Dah! ๐Ÿค”๐Ÿค” wakuu sijawhi kukutana na kitu kitamu kama hii juisi wallahi. Juisi tamu kuliko asali, kuliko sukari na kuliko utamu wa aina yoyote niliowahi kukutana nao nikiwa na AKILI zangu timamu

Yule jamaa nahisi katia sukari guru mule ndani kamix by asali na kaweka na sukari nyeupe. Doh wallahi sikufanikiwa kuimaliza na hapa nilipo nimepigwa na kichefchef kizito. Nahisi kukarahika kabisa kwa utamu uleee.. madokta nimeamua kuchabganya na kahawa kidogo mana nikiiacha hii peke yake ifike kwemye insulini leoleo napata kisukari wallahi
Cc. Madokta wote jf

Mamlaka zitutetee tu, haiwezekani juisi ya miwa inayot3ngeneza sukari itiwe sukari
View attachment 3187708
Kwanza unatakiwa ujue kwamba risk factors za kisukari ni
๐Ÿ‘‰age
๐Ÿ‘‰family history
๐Ÿ‘‰lifestyle (hapa nazungumzia sedentary life style kwenye gari, ofisini, kwenye gari nyumbani hapana mazoezi nk)
Aina za kisukari zipo tatu
Insulin dependent dm (hapa mtu anakua hana insulin kabisa)
Non insulin dependent dm (hapa inakuepo ila inakua de activated na beta cells )
Gestational diabates (hii huwapata wajawazito)

Short and clear huwezi pata kisukari kwa siku moja boss ila ni kwamba level ya sukari itapanda kwa muda then insulin itafanya kazi yake na kuirudisha back to normal
Nimechoka kuandika essay๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Miaka 25 unataka kuoa? Dunia simama nishuke niangalie madem wapya mjini.
Natafuta mwanamke Bikra wa kuoa nataka mimi ndio niwe wake pekee na sitaki MAKOMBO, nina miaka 25, kazi yangu nimeajiriwa Hospitali kubwa jijini Dar es Salaam to, Namtaka mwenye vigezo vifuatavyo :

awe Muslim
mweupe
19 to 22 years
-asiwe na kazi wala biashara yoyote
awe amelelewa kimaadili
awe tayari kuwa na watoto watatu
awe kabila lolote
awe mwembamba itapendeza
NJOO PM TUYAJENGE EWE FUTURE WIFE
 
Kwanza unatakiwa ujue kwamba risk factors za kisukari ni
๐Ÿ‘‰age
๐Ÿ‘‰family history
๐Ÿ‘‰lifestyle (hapa nazungumzia sedentary life style kwenye gari, ofisini, kwenye gari nyumbani hapana mazoezi nk)
Aina za kisukari zipo tatu
Insulin dependent dm (hapa mtu anakua hana insulin kabisa)
Non insulin dependent dm (hapa inakuepo ila inakua de activated na beta cells )
Gestational diabates (hii huwapata wajawazito)

Short and clear huwezi pata kisukari kwa siku moja boss ila ni kwamba level ya sukari itapanda kwa muda then insulin itafanya kazi yake na kuirudisha back to normal
Nimechoka kuandika essay๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Na vipi kuhusu hyper glicemia? Ofkooz nimewahi kusikia kuhusu unywaji wa soda kuanzia chupa mbili kwa siku na kukutwa na sukari nyingi kama vina uhusiano. Although iliwah kumkuza ntu mmoja aged kidogo.. how to go with it? Use 1 to 10 scaling lane
 
Wakuu inafikirisha kidogo!
Naomba nitoe rai kwa mamlaka kuandaa mafunzo ya kutengeneza juisi bora kwa wajasiriamali wadogo wadogo mana mtaani huku wanautuua haki ya mungu.

Leo katika pitapita zangu tandika nikaona juisi ya miwa nikajikoki ya jero. Dah! ๐Ÿค”๐Ÿค” wakuu sijawhi kukutana na kitu kitamu kama hii juisi wallahi. Juisi tamu kuliko asali, kuliko sukari na kuliko utamu wa aina yoyote niliowahi kukutana nao nikiwa na AKILI zangu timamu

Yule jamaa nahisi katia sukari guru mule ndani kamix by asali na kaweka na sukari nyeupe. Doh wallahi sikufanikiwa kuimaliza na hapa nilipo nimepigwa na kichefchef kizito. Nahisi kukarahika kabisa kwa utamu uleee.. madokta nimeamua kuchabganya na kahawa kidogo mana nikiiacha hii peke yake ifike kwemye insulini leoleo napata kisukari wallahi
Cc. Madokta wote jf

Mamlaka zitutetee tu, haiwezekani juisi ya miwa inayot3ngeneza sukari itiwe sukari
View attachment 3187708

Pole Sana , Mkuu jaribu kunywa maji mengi Kwa siku ya Leo .

yawezekana hata hajafanya featuring Ila miwa ikawa haina ubora , pole Sana .

Then au umekunywa dry maana zipo za aina mbili
 
Madem yote mjini haya mpaka uwaolee wahuni? Mm mzee wako nilimuoa Mshangazi akawa anastasia mpaka mashemeji zake nikamuacha kwa talaka ya sms moja ndefu nikaifowadi kwa mshenga tukamalizana
Sema wewe una shida sana....

Naskia ni mara nyingi huwa unapigwa na huyo mshangazi wanasema una kamwili kadogo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Sema wewe una shida sana....

Naskia ni mara nyingi huwa unapigwa na huyo mshangazi wanasema una kamwili kadogo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Ofkooz mkuu mshangazi namjulia pigo zake ndo mana hanisumbui sana. Nammudu tu sema hawa waliodai nina mwili mdogo wamenionea wapi
 
Back
Top Bottom