Sijawahi na sitakuja kukutana na kitu kitamu walahi kama kile katika maisha yangu yote yaliyobakia

Sijawahi na sitakuja kukutana na kitu kitamu walahi kama kile katika maisha yangu yote yaliyobakia

Basi pole Sana mkuu.
Wazo lako la kunywa maji nalitekeleza
20241229_153840.jpg
 
Mimi hua nikifika Mahala pajuice hua namwambia nitengenezeee kavu apo ya gharama ili nisimsumbue mavitu yake wewe ukaona barafu ndani ya juicy mterezo😆😆😆
Sasa mkuu na jua hili nishasweti nakataaje vitu vya baridi mkuu?. Hayo mambo yenu washindwa kwenye viyoyozi
 
Na vipi kuhusu hyper glicemia? Ofkooz nimewahi kusikia kuhusu unywaji wa soda kuanzia chupa mbili kwa siku na kukutwa na sukari nyingi kama vina uhusiano. Although iliwah kumkuza ntu mmoja aged kidogo.. how to go with it? Use 1 to 10 scaling lane
Hyper glycemia na hypoglycemia ni forms tu za dm
Hyper blood glucose inakua juu hypo inakua chini compared to normal range ya fast glucose na glucose baada ya kula
 
Kwanza unatakiwa ujue kwamba risk factors za kisukari ni
👉age
👉family history
👉lifestyle (hapa nazungumzia sedentary life style kwenye gari, ofisini, kwenye gari nyumbani hapana mazoezi nk)
Aina za kisukari zipo tatu
Insulin dependent dm (hapa mtu anakua hana insulin kabisa)
Non insulin dependent dm (hapa inakuepo ila inakua de activated na beta cells )
Gestational diabates (hii huwapata wajawazito)

Short and clear huwezi pata kisukari kwa siku moja boss ila ni kwamba level ya sukari itapanda kwa muda then insulin itafanya kazi yake na kuirudisha back to normal
Nimechoka kuandika essay😀😀
diabetes inspidus inakaaje dr
 
Back
Top Bottom