Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza fanya literature review kutaka kujua kwa undani, nimeeleza short and clear kuandika essay ndo mtihani😀😀diabetes inspidus inakaaje dr
kweli boss mimi juzi nipo kariakoo na joto hili na jua kali nimeibuigia balaaa. kila nikikata mtaa nikaona wanapo tengeneza nazama nakula glass. afu wanachanganya tangawizi , limao inakuwa na radha flan amazingi na kile kibaridi chake yaan unachikuta unavuta mrijaa kwa raaaaha.Juisi ya miwa inanitia hamsha. Kila nikikutana nayo lazima nitie sunna kama unavyoona mchuzi wa pweza tu
Kula au kula hovyo mkuu? Mm nakula kwa manati.. nitadondokea vipi kwenye kula hovyo?sema tabia ya kula kula na kunywa kunywa ovyo sio nzuri
milo mwili/mitatu + maji inatosha
Why? Kuna uhusiano wa moja kwq moja kati ya vitu vitamu na kuhakaa kwq mifupa hasa ya kinywa?Utakuwa kibogoyo mapema sana
😂😂 Dah pole sanaWakuu inafikirisha kidogo!
Naomba nitoe rai kwa mamlaka kuandaa mafunzo ya kutengeneza juisi bora kwa wajasiriamali wadogo wadogo mana mtaani huku wanautuua haki ya mungu.
Leo katika pitapita zangu tandika nikaona juisi ya miwa nikajikoki ya jero. Dah! 🤔🤔 wakuu sijawhi kukutana na kitu kitamu kama hii juisi wallahi. Juisi tamu kuliko asali, kuliko sukari na kuliko utamu wa aina yoyote niliowahi kukutana nao nikiwa na AKILI zangu timamu
Yule jamaa nahisi katia sukari guru mule ndani kamix by asali na kaweka na sukari nyeupe. Doh wallahi sikufanikiwa kuimaliza na hapa nilipo nimepigwa na kichefchef kizito. Nahisi kukarahika kabisa kwa utamu uleee.. madokta nimeamua kuchabganya na kahawa kidogo mana nikiiacha hii peke yake ifike kwemye insulini leoleo napata kisukari wallahi
Cc. Madokta wote jf
Mamlaka zitutetee tu, haiwezekani juisi ya miwa inayot3ngeneza sukari itiwe sukari
View attachment 3187708
Hahaha anajifanya seriuos kumbe kashindwa kugundua hata toothpicks huyo. Achana naye mkuu.Hili jukwaa la jokes mkuu, kama huna interest pita kule. Sio kila uzi na wewe uchangie kijana
Papuchi unaiona tamu sababu pale utimamu wa akili unakuwa haupo, unaendeshwa na mihemko mkuu. Mm nimesema kwemze uzi wangu nikiwa na akili timamuHakuna kitu kitamu kama papuchi
Affluent diseases diabetes ipo lakini kila nikiangalia life style naona inanigomea kabisa yani. Kisukari kinapandaje wakati insulin iko active? Na drunkenness inatokeaje mana vitu kama bia ni vya uchungu.. why insuline fails? Au kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kisukari na uzito?Unaweza fanya literature review kutaka kujua kwa undani, nimeeleza short and clear kuandika essay ndo mtihani😀😀
Hata wakati unakunywa hiyo shurubati hukuwana utimamu wa akili bali njaaPapuchi unaiona tamu sababu pale utimamu wa akili unakuwa haupo, unaendeshwa na mihemko mkuu. Mm nimesema kwemze uzi wangu nikiwa na akili timamu
Wew utakuwa umenielewa kuliko watu wote humu jf kuhusu utamu wa juisi ya miwa. Sasa imagine uongezewe sukari sasakweli boss mimi juzi nipo kariakoo na joto hili na jua kali nimeibuigia balaaa. kila nikikata mtaa nikaona wanapo tengeneza nazama nakula glass. afu wanachanganya tangawizi , limao inakuwa na radha flan amazingi na kile kibaridi chake yaan unachikuta unavuta mrijaa kwa raaaaha.
Njaa kivipi mkuu wakati nimekula ugali ndo nikaenda kuushusha na juisiHata wakati unakunywa hiyo shurubati hukuwana utimamu wa akili bali njaa
Mtu akikosa hela ya kula anataka jamiiforum yote hii iendane na mahuzuniko yake. Majukwaa ya biashara yapo, ya siasa yapo. Haya ya entertainment pia tunayo, na tunatamba nayoHahaha anajifanya seriuos kumbe kashindwa kugundua hata toothpicks huyo. Achana naye mkuu.
Pang fung mi kama shemeje anatengeneza nzuri tulete matunda hapo goba tuwe tunakuja kuchukua dum kwa wiki tunampa na posho yake mambo yasiwe mengiEndelea na juice za kitaa
Shukrani mkuu😂😂 Dah pole sana
KabisaWhy? Kuna uhusiano wa moja kwq moja kati ya vitu vitamu na kuhakaa kwq mifupa hasa ya kinywa?
Aaaah mwenyew jua langu ,joto langu kama wwSasa mkuu na jua hili nishasweti nakataaje vitu vya baridi mkuu?. Hayo mambo yenu washindwa kwenye viyoyozi