Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #21
Za barabarani na stendi wanachanganya na mapande ya barafu ndo mana nikashangaa pamoja na kuwa diluted na maji ya barafu kutoka kitu kitamu kama kile sio kweli mkuu kuna namna paleJuice mkuu za miwa kuna dry hii haichanganywi na maji kabisa na nyingine anachanganya na maji ya barafu .
Kuna uzi alianzisha huyo.mshangazi akawa anasema sijui mwanaume mwenye mwili mdogo huwa anamdunda kama mwanaeOfkooz mkuu mshangazi namjulia pigo zake ndo mana hanisumbui sana. Nammudu tu sema hawa waliodai nina mwili mdogo wamenionea wapi
Za barabarani na stendi wanachanganya na mapande ya barafu ndo mana nikashangaa pamoja na kuwa diluted na maji ya barafu kutoka kitu kitamu kama kile sio kweli mkuu kuna namna pale
Ah mbwembwe tu.. mana yeye mwenyew namjulia namna yq kumchekecha ni shang-ngaz langu la muda mrefuKuna uzi alianzisha huyo.mshangazi akawa anasema sijui mwanaume mwenye mwili mdogo huwa anamdunda kama mwanae
Hii kitu itakuja kukufanya uchomwe moto mbinguniAh mbwembwe tu.. mana yeye mwenyew namjulia namna yq kumchekecha ni shang-ngaz langu la muda mrefu
Inakuaje hiYo kama inaweza kunipa tentative solution naruka nayo tuWe hujui betting aviator
Nipe namba yake mkuu niwasiliane naeKwani Dr.Janabi anasemaje?😀
Wazo lako la kunywa maji nalitekelezaBasi pole Sana mkuu.
🤝🤝Wazo lako la kunywa maji nalitekelezaView attachment 3187734
Mimi hua nikifika Mahala pajuice hua namwambia nitengenezeee kavu apo ya gharama ili nisimsumbue mavitu yake wewe ukaona barafu ndani ya juicy mterezo😆😆😆Juisi ya miwa inanitia hamsha. Kila nikikutana nayo lazima nitie sunna kama unavyoona mchuzi wa pweza tu
Sasa mkuu na jua hili nishasweti nakataaje vitu vya baridi mkuu?. Hayo mambo yenu washindwa kwenye viyoyoziMimi hua nikifika Mahala pajuice hua namwambia nitengenezeee kavu apo ya gharama ili nisimsumbue mavitu yake wewe ukaona barafu ndani ya juicy mterezo😆😆😆
Hyper glycemia na hypoglycemia ni forms tu za dmNa vipi kuhusu hyper glicemia? Ofkooz nimewahi kusikia kuhusu unywaji wa soda kuanzia chupa mbili kwa siku na kukutwa na sukari nyingi kama vina uhusiano. Although iliwah kumkuza ntu mmoja aged kidogo.. how to go with it? Use 1 to 10 scaling lane
Are they related to diabetes?Hyper glycemia na hypoglycemia ni forms tu za dm
Hyper blood glucose inakua juu hypo inakua chini compared to normal range ya fast glucose na glucose baada ya kula
diabetes inspidus inakaaje drKwanza unatakiwa ujue kwamba risk factors za kisukari ni
👉age
👉family history
👉lifestyle (hapa nazungumzia sedentary life style kwenye gari, ofisini, kwenye gari nyumbani hapana mazoezi nk)
Aina za kisukari zipo tatu
Insulin dependent dm (hapa mtu anakua hana insulin kabisa)
Non insulin dependent dm (hapa inakuepo ila inakua de activated na beta cells )
Gestational diabates (hii huwapata wajawazito)
Short and clear huwezi pata kisukari kwa siku moja boss ila ni kwamba level ya sukari itapanda kwa muda then insulin itafanya kazi yake na kuirudisha back to normal
Nimechoka kuandika essay😀😀
diabetes inspidus inakaaje dr