Sijawahi yaelewa mahubiri ya Wasabato

Sijawahi yaelewa mahubiri ya Wasabato

max as well

Senior Member
Joined
Sep 10, 2023
Posts
141
Reaction score
315
Wakuu Mimi nilikua ni mpenzi sana wa dini ya kisabato ,niliipenda dini hii kuanzia itikadi za Muonekano(nywele,mavazi),pili nyimbo zao zinavutia sana,ilifika kipindi kidoogo niwe msabato rasmi.

Lakini tangu nianzie kufuatilia mahubiri Yao muda wote wanahubili Mambo ya siku ya sabato ni ipi,Mnyama na joka kupitia Rumi ya kipagani,mala chapa ya paji ya nyuso zao

Muda wote ni kuiponda Roma,hua najiuliza inamaana bibilia nzima imejaa vifungu hivyo tuuu

ALAMA YA MNYAMA,
 
Wakuu Mimi nilikua ni mpenzi sana wa dini ya kisabato ,niliipenda dini hii kuanzia itikadi za Muonekano(nywele,mavazi),pili nyimbo zao zinavutia sana,ilifika kipindi kidoogo niwe msabato rasmi.

Lakini tangu nianzie kufuatilia mahubiri Yao muda wote wanahubili Mambo ya siku ya sabato ni ipi,Mnyama na joka kupitia Rumi ya kipagani,mala chapa ya paji ya nyuso zao

Muda wote ni kuiponda Roma,hua najiuliza inamaana bibilia nzima imejaa vifungu hivyo tuuu

ALAMA YA MNYAMA,
Wakuu Mimi nilikua ni mpenzi sana wa dini ya kisabato ,niliipenda dini hii kuanzia itikadi za Muonekano(nywele,mavazi),pili nyimbo zao zinavutia sana,ilifika kipindi kidoogo niwe msabato rasmi.

Lakini tangu nianzie kufuatilia mahubiri Yao muda wote wanahubili Mambo ya siku ya sabato ni ipi,Mnyama na joka kupitia Rumi ya kipagani,mala chapa ya paji ya nyuso zao

Muda wote ni kuiponda Roma,hua najiuliza inamaana bibilia nzima imejaa vifungu hivyo tuuu

ALAMA YA MNYAMA,
HACHA uongo, utaelewaje mahubiri ya mwaposa, husielewe mahubiri yaliopangiliwa!!!!
Mahubiri ya kisabato ni mafundisho ya Biblia sio story:
1: Sabato
2: Dalili za kuja kwa Yesu
3: Kanisa la kweli
4: Yesu kuhani mkuu
5: Mwenendo wa Mkristo
6: Wokovu (uhusiano kati ya Neema, Sheria na Wokovu)
7: Ujio wa Yesu(Yesu atarudi kwa Namba gani)
8: Hali ya wafu ( Nini kinatokea baadae ya mtu kufa)
 
Wakuu Mimi nilikua ni mpenzi sana wa dini ya kisabato ,niliipenda dini hii kuanzia itikadi za Muonekano(nywele,mavazi),pili nyimbo zao zinavutia sana,ilifika kipindi kidoogo niwe msabato rasmi.

Lakini tangu nianzie kufuatilia mahubiri Yao muda wote wanahubili Mambo ya siku ya sabato ni ipi,Mnyama na joka kupitia Rumi ya kipagani,mala chapa ya paji ya nyuso zao

Muda wote ni kuiponda Roma,hua najiuliza inamaana bibilia nzima imejaa vifungu hivyo tuuu

ALAMA YA MNYAMA,
Mkuu, Wasabato ni Judaism.

Ni dini inayojiita, au inayojulikana kama ya kikristo, lakini kiuhalisia inafuata mafundisho halisi ya dini ya Uyahudi(Judaism).

Dini ya Uyahudi ni dini inayozingatia zaidi mafundisho ya agano la kale. Haya ni mafundisho yaliyotolewa kabla ya ujio wa Yesu Kristo.

Yesu alifanya kazi hadi siku ya sabato, wayahudi walimuuliza, mbona unafanya kazi siku ya Sabato?

Aliwajibu kwa kuwapa mfano, Ng'ombe akitumbukia shimoni siku ya sabato, utamuacha afe kwa kuwa ni siku ya sabato?

Akawafafanulia kuwa, Sabato ni kwa ajili ya mwanadamu, na siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
 
Ukijiweka sehemu ya kutoelewa hata ukisikia mtu anaimba utasema analia.
 
Ndio walivyo mkuu, hata kwenye mikutano yao wanahubiri tu, sabato hawahubiri habari ya ufalme wa Mungu, wamekomaa sabato ya kweli sabato ya kweli. Yesu amesema heri wenye moyo safi watamuona Mungu
Ocult in pentecost church
Google
Ulokole si dini ni roho za kishetani (google ocult in pentecost church)
 
HACHA uongo, utaelewaje mahubiri ya mwaposa, husielewe mahubiri yaliopangiliwa!!!!
Mahubiri ya kisabato ni mafundisho ya Biblia sio story:
1: Sabato
2: Dalili za kuja kwa Yesu
3: Kanisa la kweli
4: Yesu kuhani mkuu
5: Mwenendo wa Mkristo
6: Wokovu (uhusiano kati ya Neema, Sheria na Wokovu)
7: Ujio wa Yesu(Yesu atarudi kwa Namba gani)
8: Hali ya wafu ( Nini kinatokea baadae ya mtu kufa)
Hayo huwa mnayahubiria wapi? Maana kila nilipokuta msabato anatoa mahubiri, asipomzungumzia Papa basi ataizungumzia Jumamosi
 
Back
Top Bottom