Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
1. Dini ya kweli ni Ile ya kuwajali yatima na wajane
2. Tuzitii amri kumi 1-4 upendo kati mungu na mwanadamu 5-10 upendo kati ya wanadamu .
3. Na waenende Kwa Sheria na ushuhuda kama sivyo bas kwao hapana asubuhi zingatia neno asubuhi.
Zaidi ya yote neema ya kristo yatubidisha
2. Tuzitii amri kumi 1-4 upendo kati mungu na mwanadamu 5-10 upendo kati ya wanadamu .
3. Na waenende Kwa Sheria na ushuhuda kama sivyo bas kwao hapana asubuhi zingatia neno asubuhi.
Zaidi ya yote neema ya kristo yatubidisha