Sijawahi yaelewa mahubiri ya Wasabato

Sijawahi yaelewa mahubiri ya Wasabato

Cha msingi watu wanataka sadaka habari ya kuelewa tafuta kamusi
Kati ya makanisa ambayo sadaka au fedha yoyote inayotolewa kanisani si mali ya kiongozi yoyote ni wasabato.
 
Nadhani wasabato ndo watu pekee wenye mahubiri yaliyo Shiba. Kwa upande wa ukristo hakuna dhehebu lingine la kuwapiku. Wapo vizuri sana mimi Ni Rc mtiifu lkn Kwa Hawa wapo vzr
 
WWa
friend omba Mungu akausaidie ufahau haswa wa neno lake.. kunena kwa lugha paul ameenda vyema zaidi..

Watakuwa wamekugusa hasa kwenye Kunena KWA lugha,,, shokoro mogoro dooooo,shokoro magoroooo,
Walokole mnatamani muandike biblia nyingine na mafungu yafuatayo yaonekane
1: sabato ilitolewa KWA wayahudi tu
2:Sabato iligongolomewa msalabani
3: kunena KWA lugha ndio ishara ya kuokoka
4:Kuwa mchungaji sio lazima kusoma , mradi ubadili sauti, uwe na sauti ya kukoloma
5:.....
 
WWa



Walokole mnatamani muandike biblia nyingine na mafungu yafuatayo yaonekane
1: sabato ilitolewa KWA wayahudi tu
2:Sabato iligongolomewa msalabani
3: kunena KWA lugha ndio ishara ya kuokoka
4:Kuwa mchungaji sio lazima kusoma , mradi ubadili sauti, uwe na sauti ya kukoloma
5:.....
Hakuna anatamani kufanya hivyo.. Anaetamani kufanya hivyo ni kwasababu haelewi..

Ukristo sio dini ni maisha halisi..

Waefeso 2:1.,2.,3.,4.,5.,6.,7.,8.,9.,10.,11.,12.,13.,14.,15.,16.,17.,18.
1. Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu; 2. ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi; 3. ambao zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao, katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira kama na hao wengine. 4. Lakini Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda; 5. hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema. 6. Akatufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu; 7. ili katika zamani zinazokuja audhihirishe wingi wa neema yake upitao kiasi kwa wema wake kwetu sisi katika Kristo Yesu. 8. Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; 9. wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. 10. Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo. 11. Kwa ajili ya hayo kumbukeni ya kwamba zamani ninyi, mlio watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili, mnaoitwa Wasiotahiriwa na wale wanaoitwa Waliotahiriwa, yaani, tohara ya mwilini iliyofanyika kwa mikono; 12. kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani. 13. Lakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. 14. Kwa maana yeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. 15. Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya amani. 16. Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba. 17. Akaja akahubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani kwao wale waliokuwa karibu. 18. Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja.
 
Hakuna anatamani kufanya hivyo.. Anaetamani kufanya hivyo ni kwasababu haelewi..

Ukristo sio dini ni maisha halisi..

Waefeso 2:1.,2.,3.,4.,5.,6.,7.,8.,9.,10.,11.,12.,13.,14.,15.,16.,17.,18.
1. Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu; 2. ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi; 3. ambao zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao, katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira kama na hao wengine. 4. Lakini Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda; 5. hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema. 6. Akatufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu; 7. ili katika zamani zinazokuja audhihirishe wingi wa neema yake upitao kiasi kwa wema wake kwetu sisi katika Kristo Yesu. 8. Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu; 9. wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. 10. Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo. 11. Kwa ajili ya hayo kumbukeni ya kwamba zamani ninyi, mlio watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili, mnaoitwa Wasiotahiriwa na wale wanaoitwa Waliotahiriwa, yaani, tohara ya mwilini iliyofanyika kwa mikono; 12. kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni wasio wa maagano ya ahadi ile. Mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani. 13. Lakini sasa, katika Kristo Yesu, ninyi mliokuwa mbali hapo kwanza mmekuwa karibu kwa damu yake Kristo. 14. Kwa maana yeye ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi sote tuliokuwa wawili kuwa mmoja; akakibomoa kiambaza cha kati kilichotutenga. 15. Naye akiisha kuuondoa ule uadui kwa mwili wake; ndiyo sheria ya amri zilizo katika maagizo; ili afanye hao wawili kuwa mtu mpya mmoja ndani ya nafsi yake; akafanya amani. 16. Akawapatanisha wote wawili na Mungu katika mwili mmoja, kwa njia ya msalaba, akiisha kuufisha ule uadui kwa huo msalaba. 17. Akaja akahubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali, na amani kwao wale waliokuwa karibu. 18. Kwa maana kwa yeye sisi sote tumepata njia ya kumkaribia Baba katika Roho mmoja.
Kwani hayo mafungu yanashida gani
 
Ukifa hali yakua sio Muislam (kafiri) ujue kabisa utakua kuni huko motoni mujitathmini wakati nisasa

Twakumbushana tu kwakua sisi ni umma bora
Nilisikia kwa sheikh mmoja kuwa ukifa ukiwa Muislamu na ukaenda mbinguni basi vinywaji ni vinne: maji, asali, maziwa na mvinyo. Ukinywa mvinyo ukalewa unaanza kupaa angani kama ndege (the same feeling wanapataga mateja). Na ikitokea ukaanguka basi utajikuta umeangukia kwa binti bikra unaanza mizagamuano. Ila ukinywa tu pombe hapa duniani huko mbinguni hamna share yako..
Dini kama isidingo
 
Mkuu, Wasabato ni Judaism.

Ni dini inayojiita, au inayojulikana kama ya kikristo, lakini kiuhalisia inafuata mafundisho halisi ya dini ya Uyahudi(Judaism).

Dini ya Uyahudi ni dini inayozingatia zaidi mafundisho ya agano la kale. Haya ni mafundisho yaliyotolewa kabla ya ujio wa Yesu Kristo.

Yesu alifanya kazi hadi siku ya sabato, wayahudi walimuuliza, mbona unafanya kazi siku ya Sabato?

Aliwajibu kwa kuwapa mfano, Ng'ombe akitumbukia shimoni siku ya sabato, utamuacha afe kwa kuwa ni siku ya sabato?

Akawafafanulia kuwa, Sabato ni kwa ajili ya mwanadamu, na siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
Walokole mnampango wa kuleta biblia Yenu yenye mafungu yafuatayo
1: Namna ya kuomba Sara ya maombi ya kufunguliwa ( maji, mafuta na udongo wa kufunguliwa Matatizo)
2: Aina za mapepo, mapepo ya kukataliwa, mapepo ya umasikini, mapepo ya uongo
3: Ishara ya wokovu ni kunena KWA lugha, ukisha nena kea lugha tu lazima uende mbinguni. Kunena KWA lugha ndo daraja la mwisho la wokovu, ukilifikia unaenda mbinguni
4: Sabato iligongolomewa msalabani, Kwa hiyo neno sabato litafutwa kabisa, kwa kuwa limo kimakosa kwenye hii biblia
5: Hatuitaji kusoma ili tuelewe biblia, tunaomba na kukesha tu, tunakemea
 
Walokole mnampango wa kuleta biblia Yenu yenye mafungu yafuatayo
1: Namna ya kuomba Sara ya maombi ya kufunguliwa ( maji, mafuta na udongo wa kufunguliwa Matatizo)
2: Aina za mapepo, mapepo ya kukataliwa, mapepo ya umasikini, mapepo ya uongo
3: Ishara ya wokovu ni kunena KWA lugha, ukisha nena kea lugha tu lazima uende mbinguni. Kunena KWA lugha ndo daraja la mwisho la wokovu, ukilifikia unaenda mbinguni
4: Sabato iligongolomewa msalabani, Kwa hiyo neno sabato litafutwa kabisa, kwa kuwa limo kimakosa kwenye hii biblia
5: Hatuitaji kusoma ili tuelewe biblia, tunaomba na kukesha tu, tunakemea
Si kulaumu hujui unachosema kuhusu "ulokole"..

Kuna kuzaliwa mara ya pili ambayo haitokei kama huja mwamini Yesu Kristo kama Mwokozi.. Ukitaka nitakueleza..

Kunena kwa lugha ni matokeo ya kuzaliwa mara ya pili ni kiashiria cha kubatizwa na kujazwa roho Mtakatifu.. Na hii ni kwa aliyezaliwa mara ya pili..

Kuokoka hata wewe unaweza kusema umeokaka lakini ukawa hujazaliwa mara ya pili..

Yohana 3:1.,2.,3.,4.,5.,6.,7.,8.
1. Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi. 2. Huyo alimjia usiku, akamwambia, Rabi, twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, isipokuwa Mungu yu pamoja naye. 3. Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu. 4. Nikodemo akamwambia, Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa? 5. Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu. 6. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho. 7. Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, Hamna budi kuzaliwa mara ya pili. 8. Upepo huvuma upendako, na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho.



Achana na mambo ya mafuta na maji na udongo. Kwa jina la Yesu pekee
 
Pambana Mkuu hao bikira 72 tumewaachia..
Wa kwangu na wako jumla utakuaa nao 144
🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo mwamba pepo yake atakuwa full kumwemwereka,akigeuka huku imo akigeuka huku imo.

Hatari sana.
 
Back
Top Bottom