Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Ni balaaa bikira kama yote + mito ya pombe🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo mwamba pepo yake atakuwa full kumwemwereka,akigeuka huku imo akigeuka huku imo.
Hatari sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni balaaa bikira kama yote + mito ya pombe🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo mwamba pepo yake atakuwa full kumwemwereka,akigeuka huku imo akigeuka huku imo.
Hatari sana.
Habari ya amri ya Jumapili nayo ni fundisho la Biblia Mkuu? Hebu tupe fungu?HACHA uongo, utaelewaje mahubiri ya mwaposa, husielewe mahubiri yaliopangiliwa!!!!
Mahubiri ya kisabato ni mafundisho ya Biblia sio story:
1: Sabato
2: Dalili za kuja kwa Yesu
3: Kanisa la kweli
4: Yesu kuhani mkuu
5: Mwenendo wa Mkristo
6: Wokovu (uhusiano kati ya Neema, Sheria na Wokovu)
7: Ujio wa Yesu(Yesu atarudi kwa Namba gani)
8: Hali ya wafu ( Nini kinatokea baadae ya mtu kufa)
Habari ya mama White kuwa Nabii nayo ni fundisho la Biblia? Tupe fungu MkuuHabari ya amri ya Jumapili nayo ni fundisho la Biblia Mkuu? Hebu tupe fungu?
Habari ya yesu Kristo kurudi mwaka 1844 nayo ni fundisho la Biblia? Tupe funguHabari ya mama White kuwa Nabii nayo ni fundisho la Biblia? Tupe fungu Mkuu
Habari ya yesu Kristo kuingia hekalu la mbinguni kuanza hukumu ya upelelezi ni fundisho la Biblia? Tupe funguHabari ya yesu Kristo kurudi mwaka 1844 nayo ni fundisho la Biblia? Tupe fungu
Mzee punguza matumizi ya "H"HACHA uongo, utaelewaje mahubiri ya mwaposa, husielewe mahubiri yaliopangiliwa!!!!
Mahubiri ya kisabato ni mafundisho ya Biblia sio story:
1: Sabato
2: Dalili za kuja kwa Yesu
3: Kanisa la kweli
4: Yesu kuhani mkuu
5: Mwenendo wa Mkristo
6: Wokovu (uhusiano kati ya Neema, Sheria na Wokovu)
7: Ujio wa Yesu(Yesu atarudi kwa Namba gani)
8: Hali ya wafu ( Nini kinatokea baadae ya mtu kufa)
Mkumbushe tu mkuu; Gesi ndio mpango wakisasa!Alooóooooooo huu c uongo na story za chinua uchebeee🤪🤪🤪🤪
Thibitisha nani alishaona Kuni uko unakosemaa mkuuu..
Sauti ya kukoloma na kukwaruza huwa nazisikia sana kwa walokole🤣WWa
Walokole mnatamani muandike biblia nyingine na mafungu yafuatayo yaonekane
1: sabato ilitolewa KWA wayahudi tu
2:Sabato iligongolomewa msalabani
3: kunena KWA lugha ndio ishara ya kuokoka
4:Kuwa mchungaji sio lazima kusoma , mradi ubadili sauti, uwe na sauti ya kukoloma
5:.....
Ikiwa na sauti hiyo unakuwa umekidhi viwango vya kuwa nabii na mchungaji, unapewa kanisaSauti ya kukoloma na kukwaruza huwa nazisikia sana kwa walokole🤣
Hiyo amri ya jumapili, imeandikwa wapi, fafanuaHabari ya amri ya Jumapili nayo ni fundisho la Biblia Mkuu? Hebu tupe fungu?
Walokole mnatumia vigezo gani kwa wafuatao kuwait's manabii :- Mwambosa kuwa nabii ni sahihi, Joodev kuwa nabii ni sahihi, Wewe kujita nabii ni sawaHabari ya mama White kuwa Nabii nayo ni fundisho la Biblia? Tupe fungu Mkuu
Watoto watiifu wa Ellen G White. Nikikumbuka enzi zile za wale Wasabato Masalia walioweka kambi kwenye uwanja wa ndege wa JNIA, huwa nabaki tu kucheka mwenyewe.
1.Walikuwa waaminifu. Hapa tutaangalia manabii watatu ambao ni Yesu, Musa na Samweli ambao walikuwa waaminifu katika mambo yote ya Mungu. Waebrania 3:1-2Habari ya amri ya Jumapili nayo ni fundisho la Biblia Mkuu? Hebu tupe fungu?
ELLEN WHITE NINABII KWAVIGEZO VIFUATAVYO:-Habari ya amri ya Jumapili nayo ni fundisho la Biblia Mkuu? Hebu tupe fungu?
😂😂😂😂Mimi hapa tu mkuu sijioni nikitoboa mwaka huu sijaingia dini!Saint Anno II tusilimu mkuu mibikira 72 + mito ya pombe?
Mimi siyo mjinga wa kuliwa hela zangu kirahisi na watu aina ya Mwamposa. Mimi naishi kwa kupambana. Imagine hata huko RC kwenyewe ambako nilikaribia kuwa Kasisi wao miaka hiyo, huwa naonekana kwa msimu.Haya mandamano ya kufuata mwaposa kila aendapo, unayasemeaje; Umeisha pokea, utajili, au unasubiri kufunguliwa na Joodev