Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

Tatizo sio kuchelewa kuanza sex, kwa wengi huwa Mara ya kwanza Bao linakuja fasta sana ila pia woga na kutojiamini kwamba utamwaga mapema inachangia. Jitahidi uongee na Huyo mpenz wako ili uweze kujiamini
 
hahah experience matters mzee huna shida ila unaweza hisi uko njia sahihio ila baadae madhar amakubwa..hawakwambii wanazuga il amoyoni kama mshua wako yupo anatamani asikie hata kesi una mwanamke mzee haijalishi metokua kisini sana ...haya mambo ni complex na watu hupenda kuficha ficha...kukikosa mapenzi au mke au ngono ukifeli hapo utafeli pakubwa sana maishani….hata kama unazo pesa..BALANCED LIFE MUHIMU.....kama nakuelewa atakusaidi autakaa sawa af sasa utakuwa unapiga game yeye ndio anaomba poo.....vijana wadogo wakishiriki watasmewa awahuni tabia mbovu ila ndio wanakiuwa stable na wanaume sahihi kwa wadada wanawahudumia vizuri kihisia...sasa usije dhani ukimuopn amdada anajiweka kidini ukaon anafa kuoa utabugi ...mek hana formular hiyo kiivo sa hv..we unamuangalia baadae utasikia mabharia walikuwa wanafukunyua….
 
Pole sana mkuu, ila usi-complicate sana kwenye papuchi.. Hata ukipiga hiko kimoja na ukaridhika haina shida..
Demu akikwambia huwezi, hajsridhika potelea mbali hakuna mtu aliyepata prize kwenye love.. Kila mtu apambane na hali yake
Usichukulie vitu kirahisi rahisi sanaaaaa ...jaribu kushirikisha ubongo,..hapo kuna tatizo kubwa sana upande wa pili anapikua kwenye joto kali na mzuka umepanda yeye kashamwaga huoni mwenzake hafaidi chochote, ni vile wapo kwenye mahusiano ya kawaida ila ndoa nyingi zinavunjika sababu ya mambo kama haya
 
Jaribu kupiga nyeto nusu saa kabla ya mechi ...itakusaidia ku survive all rounds
 
Tatizo sio kuchelewa kuanza sex, kwa wengi huwa Mara ya kwanza Bao linakuja fasta sana ila pia woga na kutojiamini kwamba utamwaga mapema inachangia. Jitahidi uongee na Huyo mpenz wako ili uweze kujiamini
Mwanzo mwanzo kama hujazoea haya mambo Kuna ule woga fulani ivi unazinguaga sana moyo unaenda kasi yani acha mkuu
 
Uliwai kupigwa dole lbd ata kwa bahati mbaya linda lika achia [emoji848]
 
Fanya mazoezi ya viungo i.e push up,sqush ,mabio ,pendelea kula vyakula vya asili kunywa maji mengi,hlf fanya mazoezi ya kegel ili kukaza huo msuli wa uume ulioulegeza kwa punyeto mpaka ukiona paja tu unakojoa, fanya hivi at least one month then ulete mrejesho

Agwirae kagwira
 
Hiyo ni kawaida sana kwa anayeanza mambo hayo, usijali sana.. muhimu ondoa hofu na kimuhemuhe cha kutaka kula kwa pupa... nenda taratibu utazoea..
 
Usimtupe, umkumbuke kwenye ufalme wako
 
Ashirikishe ubungo tu?
 
Kunywa konyagi [emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️
 
We jamaa ni muoga wa k ndio mwanzo mwanzo utazoea tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo vizuri sana,
ukiona tu k Wareno haoooo! [emoji23]
Wengine mpaka kale kajoto ndio Wareno wanastukaaa
 
Usipaniki broo nenda taratibu imbie akili itulie hilo ni tatizo la akili zaidi. Halafu sio lazima umuingize nyoka pangoni,Mwenyeji Mungu kakujalia ulimi piga deki ngoma ikigoma.
 
Wanatoka kwa utamu kabisa au wanateleza tu bila kuhisi kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…