Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

Sijawai kujihusisha na mapenzi, haya ndio matatizo ninayopata sasa

Tatizo sio kuchelewa kuanza sex, kwa wengi huwa Mara ya kwanza Bao linakuja fasta sana ila pia woga na kutojiamini kwamba utamwaga mapema inachangia. Jitahidi uongee na Huyo mpenz wako ili uweze kujiamini
 
hahah experience matters mzee huna shida ila unaweza hisi uko njia sahihio ila baadae madhar amakubwa..hawakwambii wanazuga il amoyoni kama mshua wako yupo anatamani asikie hata kesi una mwanamke mzee haijalishi metokua kisini sana ...haya mambo ni complex na watu hupenda kuficha ficha...kukikosa mapenzi au mke au ngono ukifeli hapo utafeli pakubwa sana maishani….hata kama unazo pesa..BALANCED LIFE MUHIMU.....kama nakuelewa atakusaidi autakaa sawa af sasa utakuwa unapiga game yeye ndio anaomba poo.....vijana wadogo wakishiriki watasmewa awahuni tabia mbovu ila ndio wanakiuwa stable na wanaume sahihi kwa wadada wanawahudumia vizuri kihisia...sasa usije dhani ukimuopn amdada anajiweka kidini ukaon anafa kuoa utabugi ...mek hana formular hiyo kiivo sa hv..we unamuangalia baadae utasikia mabharia walikuwa wanafukunyua….
 
Pole sana mkuu, ila usi-complicate sana kwenye papuchi.. Hata ukipiga hiko kimoja na ukaridhika haina shida..
Demu akikwambia huwezi, hajsridhika potelea mbali hakuna mtu aliyepata prize kwenye love.. Kila mtu apambane na hali yake
Usichukulie vitu kirahisi rahisi sanaaaaa ...jaribu kushirikisha ubongo,..hapo kuna tatizo kubwa sana upande wa pili anapikua kwenye joto kali na mzuka umepanda yeye kashamwaga huoni mwenzake hafaidi chochote, ni vile wapo kwenye mahusiano ya kawaida ila ndoa nyingi zinavunjika sababu ya mambo kama haya
 
Wakuu maisha yangu yote sijawai kujihusisha na mapenzi, nilikua napendwa sana na galz but nilikua sina time nao. Wakati nipo 6 niliingia kwenye mahusiano na dada m1 but nilimwacha bila sababu yoyote ya msingi tulidumu kwa mwezi tu. Sijawai kusex ndugu zangu, Nilikua nafanya nae romance lazima nimwage wazungu nakua sina ham tena ya romance. Kutokana na kulelewa malez ya kimungu na my family na ushaur niliokuwa napewa na wazaz niliogopa sana kufanya mapenz hasa niliambiwa kuna UKIMWI.

Since nmeingia college sijawai kujihusisha na mahusiano nilikua busy sana na shule hata madem nilikua sina time nao. Nimeishi maisha ya usingle kwa miaka3 yote ya chuo. Baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata mpenzi mwez8, tulipendana sana but yeye alikuw anasoma bado. Kutokana niliona ni muda wangu sahihi wa mm kuanza mahusiano.

Mapenz yalizid kua, tulizid pendana na kila tukimeet tulikuw lazma tufanye romance, shida ilikua kila tukiwa kwa romance sichukui hata dk3 nimemwaga na kuwa sina ham tena. Hali hii ilikuwa inanipa shida sana. Toka niwe kwa mahusiano na huyu dada sikuwai kuwaza kusex nae, ilivofika march mwakahuu dada alianza waka why sijawai omba hata sex?? Au namchepuka?

Ila nashukuru hakuwa kind ya gal anaependa sex.Akaomba weeknd lazma tusex amemiss, nilimwambia sawa. Nililpa lodge elfu30 lakin baada ya kuanza romance dk3 nyingi kwangu namwaga sina ham tena. Nikamwambia dada me siko vzr nxt time japo alikuwa akiendelea nifanyia kashkash but me ndo hvo sina mzuka.

Ilibd tulale tu mle lodge ili kufidia pesa yetu tukasepa. Baada ya hapo nilisafiri july nikarud, kuna doctor nilimweleza abt this akanishauri, ule ushaur niliushauri hta nilivorud nikaomba game akasema sawa. Tulienda lodge kama kawaida dis time nilijitahid sana romance nikafanya nae vzr ikafika stage ya kumvua nguo nilimvua zote.

Nilivomtanua miguu niliona K yake ilivokuwa nzuri imetuna nikamwagia boxer. Ham ikakata niliona aibu sana japo dis time nikapotezea kwa kuendelea fanya nae romance baada ya dk20 mashine ikasimama kwenye kuingiza nikawa nashindwa mpaka nikamwaga tena. Nitakuwa mgonjwa au shida nn? Au sababu ya kuwa single muda wote?

Miaka yangu yote ya usingle sijawai kuwa addicted na puli japo nilikua napiga sometimes . Nipeni wanajf abt this.
Jaribu kupiga nyeto nusu saa kabla ya mechi ...itakusaidia ku survive all rounds
 
Tatizo sio kuchelewa kuanza sex, kwa wengi huwa Mara ya kwanza Bao linakuja fasta sana ila pia woga na kutojiamini kwamba utamwaga mapema inachangia. Jitahidi uongee na Huyo mpenz wako ili uweze kujiamini
Mwanzo mwanzo kama hujazoea haya mambo Kuna ule woga fulani ivi unazinguaga sana moyo unaenda kasi yani acha mkuu
 
Uliwai kupigwa dole lbd ata kwa bahati mbaya linda lika achia [emoji848]
 
Fanya mazoezi ya viungo i.e push up,sqush ,mabio ,pendelea kula vyakula vya asili kunywa maji mengi,hlf fanya mazoezi ya kegel ili kukaza huo msuli wa uume ulioulegeza kwa punyeto mpaka ukiona paja tu unakojoa, fanya hivi at least one month then ulete mrejesho

Agwirae kagwira
 
Hiyo ni kawaida sana kwa anayeanza mambo hayo, usijali sana.. muhimu ondoa hofu na kimuhemuhe cha kutaka kula kwa pupa... nenda taratibu utazoea..
 
Actually nimeamini kila kitu kinahitaji uzoefu ili mambo yaende vizuri,
Nakumbuka kipindi Niko Seco madarasa ya chini nilipata demu na alikuwa the first.. Kiukweli wote tulikutana Bikra..
Aisee tuwawahi kuvuana chupi Mara mbili ila sikuwahi kuzama ndani mwa yule dogo.. Sembuse na ugeni wa mambo nilikuwa naishia juujuu tu..
Mwishoni namaliza form 4 nilipata dogo mwngine ye alikuwa form 2, nashukuru yule dogo alikuwa ameshawahi haya mambo na alinisaidia vizur kunisetia set mirror maana alishajua mi ni wa mgeni wa haya mambo..
Daima sitokuja kumsahau yule dogo maana sasa ni fundi Mfawidhi..
Ila sasa tushaachana
Usimtupe, umkumbuke kwenye ufalme wako
 
Usichukulie vitu kirahisi rahisi sanaaaaa ...jaribu kushirikisha ubungo,..hapo kuna tatizo kubwa sana upande wa pili anapikua kwenye joto kali na mzuka umepanda yeye kashamwaga huoni mwenzake hafaidi chochote, ni vile wapo kwenye mahusiano ya kawaida ila ndoa nyingi zinavunjika sababu ya mambo kama haya
Ashirikishe ubungo tu?
 
Kunywa konyagi [emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️[emoji125]‍♀️
 
We jamaa ni muoga wa k ndio mwanzo mwanzo utazoea tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo vizuri sana,
ukiona tu k Wareno haoooo! [emoji23]
Wengine mpaka kale kajoto ndio Wareno wanastukaaa
 
Usipaniki broo nenda taratibu imbie akili itulie hilo ni tatizo la akili zaidi. Halafu sio lazima umuingize nyoka pangoni,Mwenyeji Mungu kakujalia ulimi piga deki ngoma ikigoma.
 
Wanatoka kwa utamu kabisa au wanateleza tu bila kuhisi kitu?
 
Back
Top Bottom