Sijisifii ila mwanamke nitakayemuoa atakuwa amepata bahati tu

Sijisifii ila mwanamke nitakayemuoa atakuwa amepata bahati tu

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Mimi sijipakulii minyama ila huyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu, sikasiriki ovyo najitambua mno, simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka

Naamini kwenye ukweli hata kama Tanzania nzima itasema uongo sintoungana nayo .

Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto hata kama mke atakuwa na kazi

Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAEmuona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk

Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina
 
Mimi sijipakulii minyama ila uyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu ,sikasiriki ovyo najitambua mno ,simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka

Naamini kwenye ukweli ata kama Tanzania nzima itasema uongo sinto ungana nayo .

Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto ata kama mke atakuwa na kazi

Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAE muona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk

Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina
Wewe unadhani utapata mke kwa style hi ya kujitangaza acha ujinga mwanaume ajisifie labda awe tapeli wa mapenzi au mdomo zege......
 
Mimi sijipakulii minyama ila uyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu ,sikasiriki ovyo najitambua mno ,simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka

Naamini kwenye ukweli ata kama Tanzania nzima itasema uongo sinto ungana nayo .

Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto ata kama mke atakuwa na kazi

Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAE muona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk

Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina
Watakuja mbio wakidhani unamiliki benki kumbe ndio unajichanga, sijui kama watakuelewa ila kila la heri.
 
Mimi sijipakulii minyama ila uyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu ,sikasiriki ovyo najitambua mno ,simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka

Naamini kwenye ukweli ata kama Tanzania nzima itasema uongo sinto ungana nayo .

Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto ata kama mke atakuwa na kazi

Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAE muona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk

Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina
Unajua nn
Tafuta mshangazi mana kizazi hiki hakuna mke wote wajasiria Mali.
 
Tupo pamoja
1739101339527.jpg
 
Mimi sijipakulii minyama ila uyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu ,sikasiriki ovyo najitambua mno ,simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka

Naamini kwenye ukweli ata kama Tanzania nzima itasema uongo sinto ungana nayo .

Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto ata kama mke atakuwa na kazi

Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAE muona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk

Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina

Si kama unavyodhani ,mwanamke ukiwa perfect lazima akuchangamshe wewe kwa matukio.

Kuna mwanamme mmoja aliachwa kisa alikuwa perfect kila kitu.
 
Mimi sijipakulii minyama ila uyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu ,sikasiriki ovyo najitambua mno ,simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka

Naamini kwenye ukweli ata kama Tanzania nzima itasema uongo sinto ungana nayo .

Mungu anipe pesa za kujikimu Mimi na mke ajae maana niliapa sintoingia kwenye mahusiano Hadi niweze kuhudumia mke na mtoto ata kama mke atakuwa na kazi

Sifuati mkumbo nikitaka kuoa nitaoa yeyote NITAKAE muona anaendana na Mimi bila kujali ni single mother, alikuwa anajiuza,nk

Sitakuja kuoa mwanamke mwenye roho mbaya maana Mimi Sina roho mbaya Mungu aniepushe na mwanamke mshirikina
Tangazo limeekeweka vyema subiri machangudoa wa sinza watajaa sasa hivi PM.
 
Back
Top Bottom