Sijivunii wazazi wangu

ahsante kwa ushauri mkuu wangu
 
Kwakuwa umechagua ID nayoiheshimu sitatumia lugha inayoudhi kwako.
Umeandika kwa hasira Sana,Tulia urudi kuandika vizuri. Nasisitiza WAHESHIMU WAZAZI mwenye masikio na asikie
Tumia hujakatazwa. Wazazi tunawaheshimu na wao watimize wajibu wao waache ujanja ujanja wa kujificha kwenye laana. Wazungu wana sheria kali sana za kumlinda mtoto na wako mbele yetu karibu kwenye kila kitu... sisi na maadili yetu ya woga tunazidi kuzama kwenye umaskini.
 
dah! mkuu maisha mbona ni mapana sana kuliko kunyonya? okay nikuulize wewe unajuaje kwamba nilinyonya? wewe ni mama yangu?
Nitoe shule kidogo!
Mahitaji muhimu kwa binadamu ni Chakula (food), malazi (shelter) na mavazi (clothes) ,ukiwa tumboni yote uliyapata kwa mama yako!

Tuseme basi kakutelekeza ukiwa mdogo haibadili ukweli hapo juu.

Unachopaswa kufanya ni kumheshimu na kumuombea unapoweza msaidie. Ni hayo tu
 
we jamaa kuna mtu kasema hamuheshimu mzazi wake? are sure una uelewa mzuri kweli?
 
Nasisitiza wewe ni mpumbavu na nusu. Wakati unamwagia/mwagiwa ndani hukujua kuna mimba itatungwa? Kama mtu hayuko tayari kwa majukumu avae zake tu condom kuliko kuleta viumbe vya kuja kuwatesa na kuwapa laana kiholela.
 
Tunazidi kuwa maskini kama taifa kwa watu kufanya starehe zao huku baadae wakikwepa majukumu yao. Watoto wa mitaani wengi wao wana wazazi ila ndo hivyo hawataki majukumu. Wapo wazazi wanaokula mema ya nchi kwa kuhangaikia watoto wao since day one. Mama Diamond pamoja na ufukara wake alikomaa na mwanae hadi alipofikia.
 
Labda tujiulize heshima maana yake nini?
Heshima ni sawa na neno RESPECT, (treat someone or something with kindness and care) hiyo ndiyo heshima tunayopaswa kuwapa wazazi wetu. Mapungufu yao hayabadili ukweli kuwa ni wazazi wako.
 
Labda tujiulize heshima maana yake nini?
Heshima ni sawa na neno RESPECT, (treat someone or something with kindness and care) hiyo ndiyo heshima tunayopaswa kuwapa wazazi wetu. Mapungufu yao hayabadili ukweli kuwa ni wazazi wako.
Fuatilia sheria za USA au Europe kuhusu watoto ndo utajua hapa kwetu tunafanya mizaha sana.
 
Hilo ni somo kwako ,nawewe ukipata mtoto hakikisha unakuwa responsible parent , responsible parenthood inatakiwa , huu utamaduni wa watu kuzaa tu kama sifa au fashion ni utamaduni wa kipumbavu sana , sio watu kuzaa tu kama panya halafu viumbe wanaozaliwa wanateseka tu , kabla ya kuzaa hakikisha una uwezo wa kumhakikishia maisha bora huyo kiumbe .
 
Natumai wanao watakuja kujivunia wewe kama mzazi wao. Subira yavuta kheri
 
Kweli kabisa eti unatakiwa ushukuru ulizaliwa wanaoshukuru ni kama watoto wakalelewa vyema na wazazi na sio kutelekeza watoto
Na mengine hata pesa za kuhudumia malezi ya mtoto huwa hayataki hata kutoa ni kuzaa tu na kutekeleza as if ni nini sijui , kule America na Europe waliliona hili mapema ndio maana kuna sheria kali za child support , ni lazima uwajibike asilimia 100 kwa kiumbe uliyemzaa ,hiyo ni lazima na ipo kama sheria kule.
Ile wako uikiuke sasa ,utatamani uzikwe ukiwa mzima .
Ilipaswa iwe hivi hata huku nchi za kishenzi kama hizi
 
kweli mkuu
 
alafu unakuta kuna mtu anatetea eti mzazi ni mzazi dah! hizi akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…